Kile Ambacho Raila Anatafuta (Video)

Kile Ambacho Raila Anatafuta (Video)

Raila ni mwanasiasa wa hovyo sana ..huyu ndio maana Moi alimuweka jela na kumhasi kabisa kwa ajili ya maujinga yake
 
Safari hii mkipigana Magu hana muda wa kusuluhisha yeye anaenda Uganda na Rwanda kusainisha mradi wa SGR na kuwaacha wafu wazikane! PEV 2007 Moi na familia yake na other wealthy walijisitiri Arusha Ngurdoto kama refugees. So u can guess what will the hotel owners around Arusha be wishing...?[emoji23]

Hakuna vita itakayotokea Kenya. Kutakuwa na skirmishes kidogo sana kama zile zilizokuwa 2013. Uzuri ni kuwa, Rais wa sasa si yule Kibaki aliyependa kujificha wakati watu wafa. Ukabila ni laana inayoletwa na wanasiasa wanaotaka kujifaidi. Si jambo la wananchi. Niliona mmoja wenu akisema kuwa Kenya ikiwa na uchaguzi wa amani, basi uchumi wa Tanzania utadorora. Ingawa siamini kuwa watanzania wengi wana mioyo wa kuitakia Kenya mabaya, najua kuna wale ambao watafurahi sana.
 
Hakuna vita itakayotokea Kenya. Kutakuwa na skirmishes kidogo sana kama zile zilizokuwa 2013. Uzuri ni kuwa, Rais wa sasa si yule Kibaki aliyependa kujificha wakati watu wafa. Ukabila ni laana inayoletwa na wanasiasa wanaotaka kujifaidi. Si jambo la wananchi. Niliona mmoja wenu akisema kuwa Kenya ikiwa na uchaguzi wa amani, basi uchumi wa Tanzania utadorora. Ingawa siamini kuwa watanzania wengi wana mioyo wa kuitakia Kenya mabaya, najua kuna wale ambao watafurahi sana.
Mpigane msipigane hainihusu ila sitataka Rais wangu apoteze muda na ushenzi wenu unaletwa na ukabila. Nitapenda kama mtapigana muachwe ili muonje machungu yake. Sitataka kabisa Tanzania iingilie maana tuna mengi ya kufanya. IGAD will wear those shoes.
 
Mpigane msipigane hainihusu ila sitataka Rais wangu apoteze muda na ushenzi wenu unaletwa na ukabila. Nitapenda kama mtapigana muachwe ili muonje machungu yake. Sitataka kabisa Tanzania iingilie maana tuna mengi ya kufanya. IGAD will wear those shoes.

Anayesema haya ni yule hushinda Kenyan Forums. Hujawahi toa mada yoyote kwenye Jukwa la siasa. Pwahahahaha..... paid blogger; utafikisha lini quota ya matusi ndio ulipwe ijumaa?
 
Anayesema haya ni yule hushinda Kenyan Forums. Hujawahi toa mada yoyote kwenye Jukwa la siasa. Pwahahahaha..... paid blogger; utafikisha lini quota ya matusi ndio ulipwe ijumaa?
Umeniskia na kama unaamini hamtapigana nn shida? Enda upige kura ungoje majibu...believe me JPM will never entervene the way stupid Kikuyus from Jubilee have been implicating him from Maina Kamanda n the likes of Kikuyu servants like Duale. Incase of infighting, I would rather want him to support Raila n make the prophecy true as u have always claimed.
 
Is this where NASA is getting 10 Million votes? 7 Million Kisiis, 23 Million Kikuyus. Are you saying that Kikuyus are more than 50% of the population?
Am not even talking about votes

See these is why i took a back seat

Am just stating Kenyas population in context of that badly put "onyo"
 
Kenya mkishindwa kujiongoza Watz tutakuja kuwaongoza..Your full of big talk about unification but inside ur heaert mmejaa ukabila, shame on you. Mnaitia aibu East Africa kwa mahubiri yenu ya Ukikuyu, Uluo sijui na madudu gani.
Lol how?
Na JWTZ?

The Amount Kenya Police spent last year Buying weapons is Greater than JWTZ budget

Usiingie Kenya ukijidai ww bingwa

Kama Somalia mumeogopa Kuongelea hata Mtawezana na Kenya??[emoji23][emoji23]

Dont make Kenya Make TZ its Bitch!!
 
FB_IMG_1497983393428.jpg
 
Lol how?
Na JWTZ?

The Amount Kenya Police spent last year Buying weapons is Greater than JWTZ budget

Usiingie Kenya ukijidai ww bingwa

Kama Somalia mumeogopa Kuongelea hata Mtawezana na Kenya??[emoji23][emoji23]

Dont make Kenya Make TZ its Bitch!!
We piga keleke.. Budget kubwa haimaanishi ndo uwezo wa jeshi..
 
Kila siku nagombana na Wakikuyu wakikutana wawili hata wakiwa group la watu kumi wasio Wakikuyu hu-switch to Kikuyu bila aibu.

Lol how?
Na JWTZ?

The Amount Kenya Police spent last year Buying weapons is Greater than JWTZ budget

Usiingie Kenya ukijidai ww bingwa

Kama Somalia mumeogopa Kuongelea hata Mtawezana na Kenya??[emoji23][emoji23]

Dont make Kenya Make TZ its Bitch!!

We piga keleke.. Budget kubwa haimaanishi ndo uwezo wa jeshi..
 
Back
Top Bottom