Kile kiapo cha damu hiki hapa


Mambo ya MziziMkavu tutafute popo asiyekojoa mie sitaki....
Aweke recipe inayoeleweka tufanye mambo...

Vingekuwa rahisi kupatikana jamani watu wangemalizana mjue....ila ukiwa mhitaji kweli vinapatikana mbona!?
 
Last edited by a moderator:
Vingekuwa rahisi kupatikana jamani watu wangemalizana mjue....ila ukiwa mhitaji kweli vinapatikana mbona!?

Mmmmh siiyo rahisi kupatikana bhana...

Basi nifanyie delivery you know my address... Right!!!
 
Kati ya vitu navyoogopa kufanya Ni kuweka kiapo.
kama huniamini bora nilale mbele kuliko kuapa

Kweli kabisa kumbuka kilichomtomea puani Mfalme Herode kwa alipoapa kwa Binti yake!

Si sawa kabisa na kuto kuahidi ukiwa hauna Ahadi!
 

Mambo ya MziziMkavu tutafute popo asiyekojoa mie sitaki....
Aweke recipe inayoeleweka tufanye mambo...
Bibie amu nime kumi Ss siku nyingi mpenzi upo? Haya ngojea nikupe faida kidogo leo nimefurahi.

KUMVUTA MPENZI WAKO KWA KUTUMIA MSHUMAA:



Hii ni mojawapo ya njia zakumvuta mpenzi au
kumrudisha mpenzi aliyetoroka au kuchukuliwa na
mtu.

Chukua Mshumaa Mweupe, chagua ule ambao

utayeyuka upesi kwa sababu utakapouwasha
unatakiwa uwe unauangalia mpaka umalizike,
usichukue mshumaa utakaowaka kwa masaa 24,

Hakikisha mshumaa unakuwa mnene.
Andaa sehemu utakapofanyia kazi ndani ya
chumba. Tandika kitambaa cheupe, andaa sehemu
nzuri ya kuweka mshumaa ili usianguke, na uweke
chochote kinachomuhusu huyo unayemtaka

umdhibiti akiwa mpenzi au bosi wako au yoyote
yule. Unaweza kuweka picha yake, nguo yake,
nywele zake, kucha, au kitu chake chochote
ambacho aidha amekivaa au amekishika.

Mshumaa utakaotumia unatakiwa uandikwe maneno
yafuatayo mara tatu, (3) "Mapenzi yako yote yaje
kwangu" Maandishi hayo uyaandike kwa kutumia
mwiba wa Mti wa Waridi au unaweza kutumia pini.

Kazi hii inatakiwa ifanyike usiku wa kuamkia
Ijumaa, kuanzia saa sita na dakika moja na
kuendelea, na imalizike kabla ya jua halijatoka.
Weka mshumaa kati kati ya kitamabaa cheupe na
uuwashe, Katika kipindi ambao mshumaa unawaka
unatakiwa uuangalie mshumaa huo huku ukisema

kwa sauti ndogo jinsi unavyotaka mapenzi kutoka
kwa huyo unayemfanyia kazi au namna
utakavyomdhibiti, useme unataka nini kwake. Awe
vipi kwako. baada ya nusu saa ya kazi hiyo ondoka
lala na uwasche mshumaa uwake wenyewe mpaka
utakapomalizika.

Mshumaa unapokwisha chukua mabaki yake na
uyafunge na kitambaa cheupe ambacho ulikikalia
wakati ukifanya kazi yako na uyahifadhi mabaki
hayo mahala salama ambapo mtu yoyote
hatayaona.

Baada ya hapo toka Nje, elekea Kaskazini na ita
jina la unayemkusudia mara saba (7) na urudi
ndani bila kuangalia nyuma.

Matokeo ya kazi hiyo ni kuwa utapata unachokitaka
kutoka kwa huyo uliyemkusudia bila kukosa,

Mapenzi yanaweza yakawa makubwa sana au
yakawa ya kawaida, ila wewe ridhika na mapenzi
yake na muonee huruma na uwe mkarimu kwake.
Ikiwa imetokea hapo baadae wewe ukawa hutaki
tena kuwa na huyo uliyemkusudia unaweza

ukavunja penzi hilo kwa njia rahisi tu, inategemea
na unavyotaka wewe, chukua yale mabaki ya
Mshumaa uliyoyahifadhi na uyachome moto, au
uyazike katika njia panda, au uyatupe katika
mfereji wa maji yanayokwenda au ndani ya shimo
la choo au jalalani na mapenzi yatawkisha.

Kumbuka ni wajibu wako kuyatupa hayo mabaki ya
Mishumaa kama ukiwa humtaki tena huyo mtu
kuliko kubakia nayo na kumtesa yeye


Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905013460377 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina Bonyeza hapa. Herbalist MziziMkavu

 

Asante MziziMkavu Mimi na amu tumekupata barabara...

Labda uniambie tu hii inavuka Bahari?? Maana windo langu inabidi livuke bahari...
 
Last edited by a moderator:
Asante MziziMkavu Mimi na amu tumekupata barabara...

Labda uniambie tu hii inavuka Bahari?? Maana windo langu inabidi livuke bahari...
Dua hiyo hata Mpenzi wako awe juu ya mbingu atakuja haraka iwezekanavyo ni hatari usifanye mchezo ni silaha kali sana bibie TATIANA
 
Last edited by a moderator:
Dua hiyo hata Mpenzi wako awe juu ya mbingu atakuja haraka iwezekanavyo ni hatari usifanye mchezo ni silaha kali sana bibie TATIANA

Mimi nina swali kwa hiyo votambaa vyeupe viwe 2 kimoja cha kuwekea mshumaa katikati kingine cha mie kukalia??? TATIANA ile mishumaa ya kwa mengi inafaa?au ndo hiyo inayoyeyuka 24 hrs
 
Last edited by a moderator:
Hhahahhah... Asante sana kiongozi... Hii itabidi niifanyie kazi... Ongeza zingine pia tuwapike watu
amu ushindwe wewe tu.

Mhhhh shoga hayo maneno "mapenzi yake yote yaje kwangu "×3 unahisi yanaweza kuenea kwenye mshumaa????
 
Last edited by a moderator:
Mimi nina swali kwa hiyo votambaa vyeupe viwe 2 kimoja cha kuwekea mshumaa katikati kingine cha mie kukalia??? TATIANA ile mishumaa ya kwa mengi inafaa?au ndo hiyo inayoyeyuka 24 hrs

Hiyo inafaa kabisa... Mi bado kitambaa tu... Kesho lazima niwe nacho.... Lazima tuweke heshima zaid mjini hapa
 
Last edited by a moderator:
Mhhhh shoga hayo maneno "mapenzi yake yote yaje kwangu "×3 unahisi yanaweza kuenea kwenye mshumaa????

Shoga don't underestimate the power of mshumaa...

Fundi kashasema hata kama yupo mbinguni atakuja tu.... Shaka ondoa we nuizia tu... Hahhahha
 
Mimi nina swali kwa hiyo votambaa vyeupe viwe 2 kimoja cha kuwekea mshumaa katikati kingine cha mie kukalia??? TATIANA ile mishumaa ya kwa mengi inafaa?au ndo hiyo inayoyeyuka 24 hrs
kuna kitambaa cheupe cha kukalia wewe wakati unafanya hiyo Dua aka Maombi yako na kuna kitambaa cheupe kidogo kinakuwa chini ya mshumaa, mshumaa uwe na na kitu chake cha kukalia kisha chini ya kitu cha kukalia mshumaa ndio kiwepo kile kitambaa cheupe amu
 

Nafanya nikiwa uchi ila nikiwa nimevaa khanga.
Ila hujanijibu maneno yote hayo ena mara 3 yataenea kwa mshumaa..
....mapenzi yake yoe yahamie kwangu....
Na majibu nayapata lini...
 
Hiyo inafaa kabisa... Mi bado kitambaa tu... Kesho lazima niwe nacho.... Lazima tuweke heshima zaid mjini hapa

Shoga tukazane...tukifanikiwa weeee mtatukoma humu ndani
 
Nafanya nikiwa uchi ila nikiwa nimevaa khanga.
Ila hujanijibu maneno yote hayo ena mara 3 yataenea kwa mshumaa..
....mapenzi yake yoe yahamie kwangu....
Na majibu nayapata lini...

Unataka majibu ya fastaa eeeh...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…