Hapo umechemka. Nafasi ya timu haitegemei kitu kimoja tu cha kufikia hatua fulani, bali pia hatua za timu zilizopo mbele yako na mwaka husika (kumbuka weight ya points inapungua kuanzia mwaka husika kurudi nyuma miaka mitano)Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake Tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya yanga rasmi!
CalculatorMpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye caf ranking na tiyali keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking,,Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!
Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake Tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya yanga rasmi!
Wazee wa "kikokotozi" almaarufu kama "Kikokotozi FC"Calculator
Duh unaelewa ulichokiandika? Unaelewa maana ya CAF 5 year ranking, alama zinazidishwa kwa coefficient za mwaka husika kwa miaka mitano nyuma kuanzia msimu huu, i.e 2025 robo shirikisho alama 2 ×5= 10, 2024 robo club bingwa alama 3×4=12, 2023 robo club bingwa alama 3×3=9, unaendelea hivyo mpaka msimu 2021 ukijumlisha unapata alama 38.Msimu huu Simba ameanza na alama 28 (ondoa alama za msimu 2020) ukijumlisha na alizovuna msimu huu robo shirikisho 28+10=38Calculator unayo?
Hebu angalia hiyo link. Mpaka 2024 Simba ailikuwa wa 7 point 39, Kwa kwenda Robo tayari ameongeza point 3 maana yake kibindoni ana poin 42.
Utopolo nafasi ya 13, point 31, tumia calculator mkifika final ya CAF Champion League mtakuwa na point ngapi na utahitaji kufika final mara ngapi na probability ya kufika final back to back ni ngapi kwenu.
Yupo sahihi, coefficient za msimu huu ni 5, i.e robo simba shirikisho alama 2 zidisha kwa 5 = 10, ukijumlisha na za misimu minne iliyopita(ondoa za msimu 2020) inakuwa 28+10=38 Yanga ukiondoa za msimu 2020 ana alama 24, akifuzu robo alama 3 zidisha kwa coefficient za msimu huu 3×5=15 ukijumlisha 24+15=39 anakuwa juu ya Simba na WydadHapo umechemka. Nafasi ya timu haitegemei kitu kimoja tu cha kufikia hatua fulani, bali pia hatua za timu zilizopo mbele yako na mwaka husika (kumbuka weight ya points inapungua kuanzia mwaka husika kurudi nyuma miaka mitano)
Usidhani mpaka naweka ivyo sijafanya hesabu,,ebu fatilia vizuri utapata jibu la icho unachokizungumzia,,na yanga akifika nusu fainali anaingia top 5 ya vilabu barani Africa upo hapo!Hapo umechemka. Nafasi ya timu haitegemei kitu kimoja tu cha kufikia hatua fulani, bali pia hatua za timu zilizopo mbele yako na mwaka husika (kumbuka weight ya points inapungua kuanzia mwaka husika kurudi nyuma miaka mitano)
Umemjibu vizuri anadhani tunafanya hesabu za vidole!Yupo sahihi, coefficient za msimu huu ni 5, i.e robo simba shirikisho alama 2 zidisha kwa 5 = 10, ukijumlisha na za misimu minne iliyopita(ondoa za msimu 2020) inakuwa 28+10=38 Yanga ukiondoa za msimu 2020 ana alama 24, akifuzu robo alama 3 zidisha kwa coefficient za msimu huu 3×5=15 ukijumlisha 24+15=39 anakuwa juu ya Simba na Wydad
Akuna unachokijua wewe ebu Rudi darasani au waulize wenzako wanaojua namna point za caf zinavyotolewa,,naona uko mweupe kichwaniCalculator unayo?
Hebu angalia hiyo link. Mpaka 2024 Simba ailikuwa wa 7 point 39, Kwa kwenda Robo tayari ameongeza point 3 maana yake kibindoni ana poin 42.
Utopolo nafasi ya 13, point 31, tumia calculator mkifika final ya CAF Champion League mtakuwa na point ngapi na utahitaji kufika final mara ngapi na probability ya kufika final back to back ni ngapi kwenu.
Si mlikuwa mnatamba na izo rank au sio nyie? Sasa kinafyekwa tuone mtatamba na nini Tena maana ndio kichaka kilichokuwa kimebaki ni suala la muda tu!Mmebadilika nyumbu.Kwanza mlidai rankings hazina maana.Sasa mmerudi na ngonjera nyingine.Mmekuwa chini ya Simba kwenye rankings miaka mingapi?Kubalini hilo halafu tujadili yajayo.Rankings zimekuwa deal tena au?
Uyo achana nae akuna anachokijua ni wale mashabiki bendera fata upepo yupo yupo tuDuh unaelewa ulichokiandika? Unaelewa maana ya CAF 5 year ranking, alama zinazidishwa kwa coefficient za mwaka husika kwa miaka mitano nyuma kuanzia msimu huu, i.e 2025 robo shirikisho alama 2 ×5= 10, 2024 robo club bingwa alama 3×4=12, 2023 robo club bingwa alama 3×3=9, unaendelea hivyo mpaka msimu 2021 ukijumlisha unapata alama 38.Msimu huu Simba ameanza na alama 28 (ondoa alama za msimu 2020) ukijumlisha na alizovuna msimu huu robo shirikisho 28+10=38
Taratibu mtazoea tu kua chini yetu.Mmebadilika nyumbu.Kwanza mlidai rankings hazina maana.Sasa mmerudi na ngonjera nyingine.Mmekuwa chini ya Simba kwenye rankings miaka mingapi?Kubalini hilo halafu tujadili yajayo.Rankings zimekuwa deal tena au?
Hivi unakijua ulichokiandika au unaleta umbumbumbu FC hadi huku?Calculator unayo?
Hebu angalia hiyo link. Mpaka 2024 Simba ailikuwa wa 7 point 39, Kwa kwenda Robo tayari ameongeza point 3 maana yake kibindoni ana poin 42.
Utopolo nafasi ya 13, point 31, tumia calculator mkifika final ya CAF Champion League mtakuwa na point ngapi na utahitaji kufika final mara ngapi na probability ya kufika final back to back ni ngapi kwenu.