Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Shabiki asiye mwanachama, asiyelipia viingilio vya uwanjani, hanunui jezi, ni mzigo kwa Club.Wanalipwa pesa zetu Wanachama
Acha kijana afurahie Yanga yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shabiki asiye mwanachama, asiyelipia viingilio vya uwanjani, hanunui jezi, ni mzigo kwa Club.Wanalipwa pesa zetu Wanachama
Acha kijana afurahie Yanga yake
Hiyo ni kweli nadhani clubs zitoe elimu Kwa mashabiki kuwajibika Kwa timu zao.Shabiki asiye mwanachama, asiyelipia viingilio vya uwanjani, hanunui jezi, ni mzigo kwa Club.
Acha hasira mrembo wanguNa ww umeingia kwny mfumo wa kizuzu
Sio lazima nihitaji pesa niweze kufurahia mpira.Ili ufurahie huo mpira unahitaji pesa si ndio? Au?
Kabisa mkuuHiyo ni kweli nadhani clubs zitoe elimu Kwa mashabiki kuwajibika Kwa timu zao.
Sio mtu yupo mtaani anabishana Simba na Yanga sio Mwanachama, halipii ada, hana jezi, haendi kiwanjani
Sasa utaufurahi vipi bila pesa? Bila kuwa na jezi OG? Bila kulipia tiketi uwanjani? Bila kulipia king'amuzi? Bila kununua bundle ukasoma update? Hapa ulipo unaijadili timu yako si umelipia bundle?Sio lazima nihitaji pesa niweze kufurahia mpira.
Yupo sahihi kama, kama, kama, iwapo, iwapo, iwapo...Yupo sahihi, coefficient za msimu huu ni 5, i.e robo simba shirikisho alama 2 zidisha kwa 5 = 10, ukijumlisha na za misimu minne iliyopita(ondoa za msimu 2020) inakuwa 28+10=38 Yanga ukiondoa za msimu 2020 ana alama 24, akifuzu robo alama 3 zidisha kwa coefficient za msimu huu 3×5=15 ukijumlisha 24+15=39 anakuwa juu ya Simba na Wydad
Kwa hiyo mtu aliyepo kule kijijini ambaye hana jezi, hana pesa ya tiketi, hana king'amuzi, hana bundle, hawezi kwenda jirani kusikiliza kwenye redio au kumuuliza jirani yake matokeo ya timu yake pendwa ya arsenal, akaambiwa imeshinda, akafurahi? Mpaka awe na laki mfukoni ndiyo anaruhusiwa kusikia neno "football"?Sasa utaufurahi vipi bila pesa? Bila kuwa na jezi OG? Bila kulipia tiketi uwanjani? Bila kulipia king'amuzi? Bila kununua bundle ukasoma update? Hapa ulipo unaijadili timu yako si umelipia bundle?
Ndiyo, mpira ni mchezo wa matokeo. Matokeo huja baada ya michezo husika. Bila kuwa na kama, kama, iwapo, iwapo kusingekuwa na haja ya football.Yupo sahihi kama, kama, kama, iwapo, iwapo, iwapo...
Kwa nini matokeo yasisubiriwe?Ndiyo, mpira ni mchezo wa matokeo. Matokeo huja baada ya michezo husika. Bila kuwa na kama, kama, iwapo, iwapo kusingekuwa na haja ya football.
Hapo ndipo penye ladha ya mpira, lazima tuzungumze na tutabiri, bila hivyo kusingekuwa na haja ya mpira, wala mambo ya betting, wala kusingekuwa na ligi wala michezo yoyote!Kwa nini matokeo yasisubiriwe?
Kuna 80% ya icho ninachokwambia kutokea ivyo Kaa kwa kutulia jibu sahihi utalipata soon!Kwa nini matokeo yasisubiriwe?
Eti wydadYupo sahihi, coefficient za msimu huu ni 5, i.e robo simba shirikisho alama 2 zidisha kwa 5 = 10, ukijumlisha na za misimu minne iliyopita(ondoa za msimu 2020) inakuwa 28+10=38 Yanga ukiondoa za msimu 2020 ana alama 24, akifuzu robo alama 3 zidisha kwa coefficient za msimu huu 3×5=15 ukijumlisha 24+15=39 anakuwa juu ya Simba na Wydad
Lazima kuna wakati atahitaji pesa maana hata kwenda hapo kwa jirani kufuatilia mpira anahitaji kuwa na afya, shibe, awe analipa madeni yake ili asikimbie au kuwakimbia majirani wenye radio akakosa update na hivi vitu vinahitaji fedha. Na kwanini umesema laki? Kwanini sio elfu hamsini? Au elfu kumi? Au nauli ya kufika uwanjani, au basi pesa ya chakula.Kwa hiyo mtu aliyepo kule kijijini ambaye hana jezi, hana pesa ya tiketi, hana king'amuzi, hana bundle, hawezi kwenda jirani kusikiliza kwenye redio au kumuuliza jirani yake matokeo ya timu yake pendwa ya arsenal, akaambiwa imeshinda, akafurahi? Mpaka awe na laki mfukoni ndiyo anaruhusiwa kusikia neno "football"?
Wewe ungekuwa unazo izo pesa kwenye huu uzi usingekuja kubishana na sisi ambao hatuna.Furaha ipi hiyo bila pesa ilihali mechi zenyewe unahitaji pesa kuzitazama.
Mkuu hata zile supu mnazokunywa kuna pesa imetumika.
Jadili hojaWatu wengine maandishi yenu tu yana reflect ulivyo sadist.
Yanga wekeni akiba ya maneno Bado hamjavuka 😂😂Si mlikuwa mnatamba na izo rank au sio nyie? Sasa kinafyekwa tuone mtatamba na nini Tena maana ndio kichaka kilichokuwa kimebaki ni suala la muda tu!
Kauli za ma looser waliokata tamaa.Kwahio yanga akiwa juu ya simba inakuongezea shilingi ngapi kwenye maisha yako
Wanajifanya wamesahauSi mlikuwa mnatamba na izo rank au sio nyie? Sasa kinafyekwa tuone mtatamba na nini Tena maana ndio kichaka kilichokuwa kimebaki ni suala la muda tu!