Kile kichaka cha CAF ranking kinakaribia kufyekwa rasmi na Yanga ndiyo maana stress na uoga ni mwingi upande wa pili

Kuna shabiki wa utopolo nilikua nimekaa nae karibu kamtukana kocha huku macho kayatoa, "Huyu kocha si amuingize Kibu Dennis ndio dakika zake, nikamjibu kwa upole Kibu Dennis haruhusiwi kucheza huku kwani yeye yuko Simba namuona kanyweea huku akivuta punzi ndefu🤣🤣🤣
 
Reactions: Tui
Simba imefika 6 bora Afrika kwa kujipambania yenyewe na bila kuitaja Yanga.
Ila Yanga inataka ifike 5 bora Afrika kwa kuitaja Simba.
Timu inafika Robo Fainari Afrika baada ya miaka 25.
Na inawaza kuhusu Ranks za Caf kwa kuiwazia Simba tu.
Yanga inajipaisha sana juu na kuishia kuwaumiza washabiki wake kwakuwa wanaifikiria kuwa ni timu kubwa katika midani za Afrika na kumbe sio.
Na kumbe ni Utopolo tu.
Sisi Simba tunajua ubora wa timu yetu na ndio maana hatujawahi kujilinganisha na Yanga kwenya ranks za Caf.
Kwa kutolewa katika medali za mpira wa Afrika mwaka huu 2025 Yanga imeshuka ki ubora timu za Afrika na kuwa ya 15.
Simba ndio kwanza tunapanda hadi nafasi ya 5 Afrika.
Haya nendeni mkauchukue ubora wa Afrika Kitandani mkiwa na wakezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…