Kile mzazi anachokiona kwa mwanae aliyepata zero form 4 akiingia chumbani kwake

Kile mzazi anachokiona kwa mwanae aliyepata zero form 4 akiingia chumbani kwake

nellymlay

Member
Joined
Jul 5, 2016
Posts
16
Reaction score
15
1318826da45ac7182d9e84c33fa949b8.jpg
 
[emoji23][emoji23] mzazi anaona aliuza ng'ombe ili alipie ng'ombe nyingine school fees
 
Sijawahi ona watoto vilaza km hawa wa dar, wizara ya elimu makao makuu yapo dar, maktaba ya taifa ipo dar, rada ya taifa ipo dar, simba na yanga zipo dar, majarida ya nyambari nyangwine yanachapishwa dar, oxford printing press ipo dar, n.k lakini bado wametoa shule *sita bora kwa ubovu*. Isitoshe hata wimbo wa darasa producer anaishi dar bado wanafeli.


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijawahi ona watoto vilaza km hawa wa dar, wizara ya elimu makao makuu yapo dar, maktaba ya taifa ipo dar, rada ya taifa ipo dar, simba na yanga zipo dar, majarida ya nyambari nyangwine yanachapishwa dar, oxford printing press ipo dar, n.k lakini bado wametoa shule *sita bora kwa ubovu*. Isitoshe hata wimbo wa darasa producer anaishi dar bado wanafeli.


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu tutafakari upya kabla hatujaropoka. Zilizoshindwa ni SHULE ZA DAR sio WATOTO WA DAR. Una hakika gani hao walioshika nafasi za juu si wakaazi wa Dar huko walienda tu kusoma?

Mtihani si tu ni kipimo cha uelewa wa mwanafunzi, ni vile vile kipimo cha uwezo wa mwalimu kumfundisha mwanafunzi
 
Hebu tutafakari upya kabla hatujaropoka. Zilizoshindwa ni SHULE ZA DAR sio WATOTO WA DAR. Una hakika gani hao walioshika nafasi za juu si wakaazi wa Dar huko walienda tu kusoma?

Mtihani si tu ni kipimo cha uelewa wa mwanafunzi, ni vile vile kipimo cha uwezo wa mwalimu kumfundisha mwanafunzi
dar starehe nyingi hakuna kusoma...mtoto anasoma pemben pana baa pana gest pana club nk..kusoma kutatokea wap
 
Jamani Sio vizuli Mungu anawaona.....ila inachekesha sana[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Back
Top Bottom