Kile Tulichokisubiri Ni Hichi Hapa Kwa Wale Washabiki Wa EPL

Kile Tulichokisubiri Ni Hichi Hapa Kwa Wale Washabiki Wa EPL

Ukiuliza kwenye miaka 10 ni mara ngapi hao wapiga vuvuzela wa EPL wamebeba mara ngapi UCL naweza kuambulia matusi [emoji23][emoji23][emoji23]


Mkuu Kwa Bahati Mbaya Mimi Shule Sikuwahi Kusoma Somo la Historia! Kwahiyo Hapa Hatujadili Historia ya Mpira Bali Tunajadili Kinachoendelea na Tunachokiona Sasa....

Kama Ni Historia labda Nenda Shule Ukaulize Madogo Wa HKL...
 
31st Jan: Tottenham vs Man Utd
3rd Feb: Liverpool vs Tottenham
10th Feb: Tottenham vs Arsenal
13th Feb: Juventus vs Tottenham

Spurs' fixture list is not looking very fun...
 
31st Jan: Tottenham vs Man Utd
3rd Feb: Liverpool vs Tottenham
10th Feb: Tottenham vs Arsenal
13th Feb: Juventus vs Tottenham

Spurs' fixture list is not looking very fun...
Na huyu pacha wangu?

manunited.png
 

Attachments

  • manunited.png
    manunited.png
    15.1 KB · Views: 17
Mbwembe za nn EPL imepoteza ubora msimu wa TATU huu mtawaliwaa let tuone je watarudisha ubabe na kuuendelezaaa????
 
Chelsea hii hii ya wachezaji dizaini ya Bakayoko (Ndanda Kosovo) ndiyo imtoe barca??
 
Chelsea hii hii ya wachezaji dizaini ya Bakayoko (Ndanda Kosovo) ndiyo imtoe barca??


Ikiwa Mpira Utauhesabu Ni Sawa na Ring ya Boxing kwamba anaingia One-to-One i.e. Messi vs Bakayoko Basi Chelsea Kashatolewa...

Lakini ikiwa Mpira Utauhesabu Kuwa Ni Teamwork i.e. Barcelona vs Chelsea Basi Barcelona hana Safari Ni Kutolewa tu..
 
31st Jan: Tottenham vs Man Utd
3rd Feb: Liverpool vs Tottenham
10th Feb: Tottenham vs Arsenal
13th Feb: Juventus vs Tottenham

Spurs' fixture list is not looking very fun...


Mkuu Hapo Mbona imebalance Virzuri tu!! Yani..

2 Games Home
2 Games
Away
 
Zamani Sikuwa Na Muda Wa Kuandika Post Zinazohusu La Liga Coz Bongo Hakukuwa na Washabiki Wa La Liga!
Washabiki Sote Tulikuwa EPL...
Ni Azam TV ndiye Aliyetuletea Washabiki Maandazi Wa La Liga...


So, Naandika Post Hizi Kwa Kuwajibu Wale Wanaoclaim Kuwa Kigenge Chao cha La Liga Ni Ligi bora Wakati Ni Upumbavu tu..
We jamaa sura yako inaweza kuwa inafanana na PAPUCHI
 
Mkuu Kwa Bahati Mbaya Mimi Shule Sikuwahi Kusoma Somo la Historia! Kwahiyo Hapa Hatujadili Historia ya Mpira Bali Tunajadili Kinachoendelea na Tunachokiona Sasa....

Kama Ni Historia labda Nenda Shule Ukaulize Madogo Wa HKL...
Na inaelekea huko shule hakuna ulichokuwa unakiweza coz huna hata hoja za msingi hapa na hata ukizungumzia kinachoendelea bado kila kitu kipo mikononi mwa timu za la liga...sasa ukizungumzia kinachoendelea kitu gani utazungumzia juu ya timu za Uingereza ????
 
Zamani Sikuwa Na Muda Wa Kuandika Post Zinazohusu La Liga Coz Bongo Hakukuwa na Washabiki Wa La Liga!
Washabiki Sote Tulikuwa EPL...
Ni Azam TV ndiye Aliyetuletea Washabiki Maandazi Wa La Liga...


So, Naandika Post Hizi Kwa Kuwajibu Wale Wanaoclaim Kuwa Kigenge Chao cha La Liga Ni Ligi bora Wakati Ni Upumbavu tu..
Mara ya mwisho kuchukua UEFA nyie ni lini?

Alfu na sisi tukuambie
 
We jamaa sura yako inaweza kuwa inafanana na PAPUCHI


Ningelikujibu lakini Najua Moderators Hawataniachia Mimi Nimalizane na Wewe Bali Wataingilia Kati Kwa Kunipiga Ban...
Kwahiyo itabini Nikupuuze tu Comments zako...
 
Kuwa timamu na kuamin kwako mkuu hapa ni lazima ujue barcelona cn timu ya kubeza hata siku moja maana chelsea iliyoisumbua barca si hii ya conte ambayo naiona mimi barca atashinda zaid ya tano hutoamini
 
Sifikirii madrid kutolewa na ile psg ya Kukusanyana kutolewa hilo sahahau mkuu
 
Zamani Sikuwa Na Muda Wa Kuandika Post Zinazohusu La Liga Coz Bongo Hakukuwa na Washabiki Wa La Liga!
Washabiki Sote Tulikuwa EPL...
Ni Azam TV ndiye Aliyetuletea Washabiki Maandazi Wa La Liga...


So, Naandika Post Hizi Kwa Kuwajibu Wale Wanaoclaim Kuwa Kigenge Chao cha La Liga Ni Ligi bora Wakati Ni Upumbavu tu..
Mbona kama una jazba vile?!! Si tusubiri tu muda ufike ili kwamba Chelsea waudhihirishie ulimwengu kuwa Barcelona na Qarabang wanatofautiana jezi tu? Halafu hapo ndio sasa tuanze kuitana wapumbavu
 
Ningelikujibu lakini Najua Moderators Hawataniachia Mimi Nimalizane na Wewe Bali Wataingilia Kati Kwa Kunipiga Ban...
Kwahiyo itabini Nikupuuze tu Comments zako...
Vyovyote vile lkn sura yako inaweza ikawa inafanana na hiyo kitu...
 
Jamani msichukie, mpira ni furaha na utani ndio raha yenyewe. sisi ni wapenzi wa EPL haina maana nyinyi La liga ndio hamjui. Kuna ukweli mmoja tu hauwezi kubadilika hata hiyo miaka ambayo tulikuwa hatufanyi vizuri CL ila ndio kwanza EPL ikawa unavunja record ya pesa na kuangaliwa na watu wengi duniani. mwaka jana pesa aliyepokea aliyeshuka daraja alichukuwa pesa ndefu kuliko Athletico Madrid. kizuri kina bei yake haiji kwa bahati. tunajuwa kabisa huwezi kununua BMW kwa bei Hyundai.
Tunazungumzia MPIRA hapa, sio PESA
 
Back
Top Bottom