Kile unachoandika mtandaoni kinasadifu jinsi ulivyo

Umeona hiyo.Vipi kuhusu avatar Je?hazielezi uhalisia wa mtu?
Kwani Avatar hazipo matandaoni?? If Yes basi zinaelezea uhalisia wa mtu mpaka mtu ukaichagua hiyo avatar basi lazima kuna reason or story behind. And yes mine has too.
 
hamna cha kuficha wala hamna cha maana cha kuexpose [emoji16][emoji16]mkitaka kunijua njoeni hapa kawe beach mnione nipo napata upepo mwanana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukiona mtu yuko anonymous mode na still ana kuwa fake huyo mtu yuko na tatizo la akili.

Anonymous mode ni mtu yuko really kuonesha ujinga wake na uelevu wake at the same time, kila binadamu ana ujinga wake sasa shida ipo kwa huyo anayefuatilia ujinga wa mwingine.
 
Kwanza kwann umlete dogo kwenye jf na mnajuana kwa I'd zenu
Ni mkubwa, ilitokea bahati mbaya nilimwazima simu aangalie matokeo ya mpira kumbe ni memba wa JF kuona app icon akaingia na mimi sikuwa nimelog out kwa App basi baada ya kuona akajua ID yangu na nikaforce niijue na yake ingawa yeye yupo sana nyuzi za mipira na betting.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…