Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaficha nn 😂Situmiii jf kupitia app so rahis mtu akajua kama natumia, nikishamaliza kubrowse naclear history naswitch email chap.
ila we dada 😂😂😂Mf. Wewe umeweka avatar nguo fupi na matako... haya unaji define aje humu + huko nje? 🤐🤐🏃♀️
bora tu leo usingesaliNilisali misa ya kwanza ankoo.
Why bro 🤣bora tu leo usingesali
🤭🤭 narudi shule kusoma somo la tafsida, ndiyo heshima isishuke 🤗ila we dada 😂😂😂
mtu mnaheshimiana vizuri tu ila anawaza ....
kwanza bro mwenyewe 😂 😂Why bro 🤣
shule ipi hiyo ukatese walimu na mzigo kama wa kwenye avatar ya mleta mada😂😂🤭🤭 narudi shule kusoma somo la tafsida, ndiyo heshima isishuke 🤗
Ndio vizuri hivyo wakujueHumu home mmoja ananiita Mamndenyi hata mbele za watu sijui wakinisoma wanawaza nini?
I'm afraid hujamuelewa mtoa madaMtu yupo anonymous ili awe huru kuandika anachotaka kuandika, humu kuna watu na nafasi zao kubwa na wanaandika ushenzi, let them be.
Hata hivyo ulishaachana nae, kumfatilia manake ni kuwa kuna jambo bado unalitaka.
Yes of course,Tusipangiane maisha
Hakika ni kweliI'm afraid hujamuelewa mtoa mada
Nimeipenda 😋Mf. Wewe umeweka avatar nguo fupi na matako... haya unaji define aje humu + huko nje? 🤐🤐🏃♀️
Kwa hiyo kama mmegombana huko nyumbani ndio umeamua kumfungulia uzi wa kutukana kireja reja?Jana usiku wakati nimekaa na mdogo wangu wa kiume mkubwa anayenifwata kuzaliwa akaniambia "Dada kumbe baba fulani (akamtaja baba mtoto wangu) ndio hana akili hivyo? Yaani jinsi nilivyokuwa namheshimu kumbe ndio ujinga anaouandikaga mtandaoni?
Kwanza shem alivyo busy vile muda wa kuandika ujinga ule anapata wapi, huoni kama anakuaibisha hata wewe? Yaani kusema kweli baada ya kusoma threads zake leo nimemdharau sana. Kweli unaweza kuwa umesoma, una kazi nzuri na pesa ila kichwa hakina akili."
Nikamuuliza umeijuaje ID yake mbona zaidi yangu hakuna anayeijua au ulipekua simu yangu kusoma PM zangu eeh? Akajibu hapana, sehemu nyingi sana anatagiwa hata kuna uzi wake pia alijisema yeye ndio baba wa anko wangu. Kweli Shemeji anajiaibisha sana hata kama tunatumia fake IDs (Mimi na dogo tunazijua ID's zetu).
Baada ya hapo ikabidi nianze kumuelekeza kwamba huyo chizi anayejiaibisha sio baba wa anko wake kabisa, nikamuelekeza kwamba shemeji yake hana ujinga huo. Hata kama simpendi namchukia ila ukweli hawezi kuonyesha ujinga wake hadharani hivyo.
Hata kama ni malaya pia hawezi kujisifia hadharani kubadilisha wanawake kila siku. Yeye yupo busy kwenye majukwaa ya Jamii intelligence na nyuzi za sports. Hata kwa Rick boy kwenye kula kimasihara anaonyeshaga ushamba wake hadharani wa kuwashangaa wenzie wanavyokula mitaro nje nje.
Jamani wanajukwaa mitandao ya kijamii inadefine sana jinsi ulivyo. Kile unachokiandika humu kinadefine uhalisia wako kwa hiyo tujitahidi sana kuandika vitu vyenye tija na vya maana. Unaweza kuwa mtu unayeheshimika kweli ila mitandao ikakufanya ujishushie heshima yako.
Kuna watu wengine huwa najiuliza hivi bahati mbaya hata mdogo wake au mwanae akashika simu yake akijua upuuzi anaoandika humu ataendelea kumuheshimu kweli? Tuangalie maudhui tunayoyaandika jamani.
Tulia brokwanza bro mwenyewe 😂 😂
pili usingeenda maana naona maneno yako ni yakichochezi
Tobaaaaahshule ipi hiyo ukatese walimu na mzigo kama wa kwenye avatar ya mleta mada😂😂
Ebhanaeeeee trudie 🔥🔥🔥🔥🔥🔥😋
hebu picha tuone au nawewe weka avatar 😂😂Tobaaaaah
Teller wana mizigo wametoa wapi
Asbh - jioni wanakaa
Inasinyaa
😂😂😂
kama vipi tumpe maua yake lipo analo la kutosha