Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akaaaaaaa!!! Excel una mambo mengi Kama unga wa ngano wewe,mie nakuogopaaaa....
Excel mie nasikia wewe hujatulia unaweza kunifanya nikashikilia weeeeee mpaka basi ......
Mdogo wake yule wakiume mrefu anae endesha Range ya Excel ile nyeupe....
Natamani lakini kujaribu siwezi Excel...calm down promie... you are byutiful! i am here..! ok, its like, tell me what you want now! be free!
Kwa wale wapenzi wote kuna ofa ya kwenda kukwea mlima Kilimanjaro
kwa wale watakaobahatika kwenda ajitahidini mpande mpaka kileleni ni sifa na raha mno kufika kule juu kabisa si kila mmoja anaweza kufika
NB. SIKUMAANISHA KILELE ULICHOFIKIRIA WEWE...!!!
kaongopa, yawezekana anakutaka yeye....Mdogo wake yule wakiume mrefu anae endesha Range ya Excel ile nyeupe....
Hahahaha jamani hawezi kwa yule mpole sana yani hata kuongea kwa tabu na nadhani kasema kwasababu ananionea huruma,anajua sana anapokwenda na kila mara anatumwa sijui peleka pesa kwa huyu,mara mwanamke yule,nimenuna ivo mie Kabanga, wala narudi Zangu Zanzibar nimechoka nafsi yangu...kaongopa, yawezekana anakutaka yeye....
Hahahaha jamani hawezi kwa yule mpole sana yani hata kuongea kwa tabu na nadhani kasema kwasababu ananionea huruma,anajua sana anapokwenda na kila mara anatumwa sijui peleka pesa kwa huyu,mara mwanamke yule,nimenuna ivo mie Kabanga, wala narudi Zangu Zanzibar nimechoka nafsi yangu...
tell me now.. nini kinakufanya ushindwe mamii?Natamani lakini kujaribu siwezi Excel...
una sura ya upole sana na moyo wa huruma lakini ndani ya moyo wako kuna rooms nyingi na umepangisha wengi....tell me now.. nini kinakufanya ushindwe mamii?
una sura ya upole sana na moyo wa huruma lakini ndani ya moyo wako kuna rooms nyingi na umepangisha wengi....
mmmmmmh, 85% mbona nyingi sana unampa? anakua mkali saa nyengine hutamani kumuona tena....ntampa 48% nikimpa 50 atanifanyia vituko.....Promiseme nobody is perfect..! Tunachoangalia ni percentage! !!!!kwa nionavyo mimi kwa kukiri kwako mwenyewe naona excel ana 85% ambayo ni sawa na A+
Kwa wale wapenzi wote kuna ofa ya kwenda kukwea mlima Kilimanjaro
kwa wale watakaobahatika kwenda ajitahidini mpande mpaka kileleni ni sifa na raha mno kufika kule juu kabisa si kila mmoja anaweza kufika
NB. SIKUMAANISHA KILELE ULICHOFIKIRIA WEWE...!!!