Ingawa kishingo upande
nadhani hakuna ubish
[emoji3] [emoji3]Ingawa kishingo upande
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Tabia ya Kili Music Awards kufanya figisu figisu kuwajaza mituzo Dai na Kiba sio ishu. Mwaka huu wote minyimbo yao mibayaaaa.
On the other hand Harmonise na wimbo wake wa Ayoola ni mtamu sanaaaaa. Aisee anastahili walau tuzo 5. Kiukweli tena.
Afu yuko very humble, interview alivoulizwa anmuonaje Kiba, akasema ni mwanamziki mzuri na anaweza kufanya nae kazi inaonesha ukomavuuu katika fani. Kiukweli huyu kijana asiposhinda walau tuzo 5 mwaka huu patachimbika kama Miss Tz palivochimbika.
We ni nani mpaka useme lazima apate tuzo?Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Tabia ya Kili Music Awards kufanya figisu figisu kuwajaza mituzo Dai na Kiba sio ishu. Mwaka huu wote minyimbo yao mibayaaaa.
On the other hand Harmonise na wimbo wake wa Ayoola ni mtamu sanaaaaa. Aisee anastahili walau tuzo 5. Kiukweli tena.
Afu yuko very humble, interview alivoulizwa anmuonaje Kiba, akasema ni mwanamziki mzuri na anaweza kufanya nae kazi inaonesha ukomavuuu katika fani. Kiukweli huyu kijana asiposhinda walau tuzo 5 mwaka huu patachimbika kama Miss Tz palivochimbika.
tuzo za kili zinategemea zaidi kura, halafu nyimbo zinazohusika ni za mwaka jana, unataka kusema nyimbo za taifa kama chekecha na nana zikose tuzo? hapana aisee.. huyo dogo labda achukue upcoming