Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,296
- 3,398
Jux yule muuza sura tu hakuna cha maana anachoimba
bila a kujifikiria mara mbili nitampigia fid q to be honest adeserve mwaka huu ila mwaka jana alideserve so nitampigia kwa ajili ya mwaka jana.
Nina mashaka Young Killer atawasumbua
Kuna ule usemi usemao binamu kinyama cha nini vile ?
BINAM nyama ya HAMU
Hahhhahhhahha sikuwezii
Hapo kwenye hip hop patamu
Taani
1.Young Killer
2.Stamina
3.Fid Q
4.G-Nako.
Hiyo ndo category niliyoona ni ngumu mtu kupita hivi hivi bila jasho.
Hapo kwenye hip hop patamu
Taani
1.Young Killer
2.Stamina
3.Fid Q
4.G-Nako.
Hiyo ndo category niliyoona ni ngumu mtu kupita hivi hivi bila jasho.
Huku kwetu usitamke maneno haya utapigwa.
ID yako imenikumbusha my friend atug
Ndio mm yuleyule ma dia.. Yaan majanga yalinikuta nilisahau password cjui ndo uzee au nn.. Nikaona isiwe shida nikajiunga tena kwa atug2. How are u Heaven on Earth. Hope na kili tutatiririka km tpf.
Cc: DEMBA, Charming lady,mwallu,Ruta,angel na wengine wengi i can't mention them all
jaman am glad nimekuona....kili kama kaaida kwenye kile kijiwe chetu
mi huwa wananikera eti siku ya show unamleta Mc mtangazaji daaah jamani hamuoni mbele wanavyofanya, leteni Mc kama mpoki yaani rahaa saaana maana muda mwingine watu wanachokaa kusikiliza mibongo fleva wanaburudika na ucheshi wa mpoki
Ndio mm yuleyule ma dia..
Yaan majanga yalinikuta nilisahau password cjui ndo uzee au nn.. Nikaona
isiwe shida nikajiunga tena kwa atug2. How are u Heaven
on Earth. Hope na kili tutatiririka km tpf.
Cc: DEMBA, Charming lady,mwallu,Ruta,angel na wengine wengi i can't
mention them all