kili music

kili music

Abbasy

Senior Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
123
Reaction score
9
twenty percent anatisha tano kwa mpigo ila ni halali kwa nyimbo anazoimba ukiachalia mbali wabana pua mapenzi mda wote,kuuza sura na kulamba lips
 
Ndo maana yake,, sijui sharo baro chali tupa kule watu tunataka vionjo vya nyumbani allllah!!!! 20% mia.
 
jamaa ametisha mwanzo mwisho,namkubali sana tu
 
Jamaa noma. Amedhiirisha ya kwamba ukifanya kazi nzuri itaonekana tu hata watu wabane kiasi gani
 
halali yake kabisa aisee! sema kill wamechemsha sana kwenye Shangazi yake Mpoki ..ule upuuzi aloimba unaweza kuulinganisha na tungo za Mpoto kweli?
:tongue:
 
halali yake kabisa aisee! sema kill wamechemsha sana kwenye Shangazi yake Mpoki ..ule upuuzi aloimba unaweza kuulinganisha na tungo za Mpoto kweli?
:tongue:

Sio Kill ni watanzania hao....hii ni kuonyesha namna ambavyo watanzania hatupo makini na mambo ya msingi yanayo-determine maisha yetu......
 
Back
Top Bottom