Kilichobaki sasa kwa Makonda ni kumpa maagizo Rais wetu

Kilichobaki sasa kwa Makonda ni kumpa maagizo Rais wetu

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kwa tulicheza mgambo, sungusungu, scout n.k lazima tufundishwe kasomo kadogo kanaitwa Chain of command.
Mdogo hupokea amri kwa mkubwa huku mkubwa na kutekeleza huku mkubwa akiendelea kuwa na authority ya kuwa na mamlaka ya kutoa amri na tena na tena.

Majaliwa Waziri mkuu tayari ameshapokea amri toka kwa mkubwa wake Makonda. Vice president ni void chair. Kikatiba hana authority, yuko tu kwaajili ya kutumwa au kusubiri dharura.

Kilichobaki sasa Makonda ampe amri Rais. Si mnasema yeye ni mwenezi hivyo hata Samia anapaswa kupewa amri kuhakikisha miradi yote inakamilika kwa wakati ili CCM izidi kuwa imara.

Kidumu chama cha mapinduzi
 
Kwa tulicheza mgambo, sungusungu, scout n.k lazima tufundishwe kasomo kadogo kanaitwa Chain of command.
Mdogo hupokea amri kwa mkubwa huku mkubwa na kutekeleza huku mkubwa akiendelea kuwa na authority ya kuwa na mamlaka ya kutoa amri na tena na tena.

Majaliwa Waziri mkuu tayari ameshapokea amri toka kwa mkubwa wake Makonda. Vice president ni void chair. Kikatiba hana authority, yuko tu kwaajili ya kutumwa au kusubiri dharura.

Kilichobaki sasa Makonda ampe amri Rais. Si mnasema yeye ni mwenezi hivyo hata Samia anapaswa kupewa amri kuhakikisha miradi yote inakamilika kwa wakati ili CCM izidi kuwa imara.

Kidumu chama cha mapinduzi

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1755842214926676221?t=cG6Qh842Yu6vRoTZ2QcEUw&s=19
 
He is catalyst remain unchanged at the end of the reaction/sagga/aftermath
 
Maofisa ardhi mmefukiwa sasa muhame who is next? Wakurugenzi wa TANESCO endeleeni kupasha misuli
 
Bora mtu anaetoka nje kusikia kero za wananchi na kuonesha kwamba anajali japo kinafki kuliko mtu anaekaa tuu kimya na kuwa busy na safari zake kana kwamba hajali
 
Back
Top Bottom