Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
CCM ni chama kinachotumia mbinu duni mno kudanganya , nadhani hii inatokana na chama chenyewe kuwa kichakavu ni cha zamani na hakifahamu lolote kuhusu mbinu mpya.
Huko Msomera, kule walikohamishiwa wale wamasai wa mchongo kumepigwa Tukio lililoongozwa na viongozi wa CCM na kupachikwa jina la uongo la eti TAMASHA LA KIMILA LA WAMASAI
Tamasha la wamasai linaongozwaje na Wanaccm?
Huko Msomera, kule walikohamishiwa wale wamasai wa mchongo kumepigwa Tukio lililoongozwa na viongozi wa CCM na kupachikwa jina la uongo la eti TAMASHA LA KIMILA LA WAMASAI
Tamasha la wamasai linaongozwaje na Wanaccm?