Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kuumbee?!
Duuh [emoji2297]
Sasa Kwanini hawakuweka wazi?!
Duuh [emoji2297]
Sasa Kwanini hawakuweka wazi?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kataa wahuni
Nani anaheshimu Mahakamani nchi hii ?Kwani Mahakama Inasemaje Kuondolewa Ngorongoro
Wewe ungekuwa huumii ungempotezea tuSawa tu, kwani kuna ubaya gani? Mila zetu tangiapo ziko pamoja na za Chama, yaani CCM ni mtoto wa hizo mila.
Wamasai hawawezi kuwa wanaccm?CCM ni chama kinachotumia mbinu duni mno kudanganya , nadhani hii inatokana na chama chenyewe kuwa kichakavu ni cha zamani na hakifahamu lolote kuhusu mbinu mpya.
Huko Msomera, kule walikohamishiwa wale wamasai wa mchongo kumepigwa Tukio lililoongozwa na viongozi wa CCM na kupachikwa jina la uongo la eti TAMASHA LA KIMILA LA WAMASAI
Tamasha la wamasai linaongozwaje na Wanaccm?
Hivi nani alikuambia kuwa Ngorongoro ndiyo eneo asilia la Wamasai? Na je unajuwa kuwa Wamasai siyo jamii ya kwanza kuhamishwa kwenye makazi waliyopo na kupelekwa sehemu nyingine kwa ajili ya manufaa mapana ya kitaifa.CCM ni chama kinachotumia mbinu duni mno kudanganya , nadhani hii inatokana na chama chenyewe kuwa kichakavu ni cha zamani na hakifahamu lolote kuhusu mbinu mpya.
Huko Msomera, kule walikohamishiwa wale wamasai wa mchongo kumepigwa Tukio lililoongozwa na viongozi wa CCM na kupachikwa jina la uongo la eti TAMASHA LA KIMILA LA WAMASAI
Tamasha la wamasai linaongozwaje na Wanaccm?
Lakini Sherehe zao za kimila haziwezi kuwa za ccmWamasai hawawezi kuwa wanaccm?
Hii ni hoja nyingineHivi nani alikuambia kuwa Ngorongoro ndiyo eneo asilia la Wamasai? Na je unajuwa kuwa Wamasai siyo jamii ya kwanza kuhamishwa kwenye makazi waliyopo na kupelekwa sehemu nyingine kwa ajili ya manufaa mapana ya kitaifa.
Wamasai walihamishwa kutoka Serengeti mwishoni mwa miaka ya 1950 kwa amri ya Governor wa Tanganyika wakati huo.
Pili kuna jamii za wachagga zilihamishwa miaka ya 1960 kutoka Kilimanjaro kwenda Turiani.
Kuna jamii za Wasukuma huku Bulyanhulu na Wakurya huko Tarime zililamishwa kupisha machimbo ya madini.
Wamasai kwenda Msomera Handeni ni kitu cha kawaida tu
Huenda Wamasai ni wana-CCM.CCM ni chama kinachotumia mbinu duni mno kudanganya , nadhani hii inatokana na chama chenyewe kuwa kichakavu ni cha zamani na hakifahamu lolote kuhusu mbinu mpya.
Huko Msomera, kule walikohamishiwa wale wamasai wa mchongo kumepigwa Tukio lililoongozwa na viongozi wa CCM na kupachikwa jina la uongo la eti TAMASHA LA KIMILA LA WAMASAI
Tamasha la wamasai linaongozwaje na Wanaccm?