Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Kama alimsukuma basi alikosea sanaMkuu kumfokea ni sawa lakini sio kwa kumsukuma tena zaidi ya mara 3 .
Huyu hakuwahi kuwashuhudia hakina Mwameja wakiwapiga kwenzi hakina George Masatu. Hilo ni jambo la kawaida tu kwa wachezaji .Che Malone ni mzito na Kila mechi lazima afanye kosa, Sasa Kuna makosa ya bahati mbaya na makosa ya kusudi.
Beki huwezi kumwacha kipa akutane na mshambuliaji mojakwamoja wakati kipa anatumia mikono.
Che Malone anajiamini kuliko uwezo alionao Sasa ao makipa wamesha msoma na Jana ilikua statement ya wazi.
Yote ni kukumbushana kwaajili ya manufaa ya timu.
Kipa angekua Juma pondamali ndugu Malone ange chezea makofi hdharani.
Mkuu usimpe kichwa ipo siku ataingia kwenye anga mbaya atachakaa kufoka kwa mdomo kinatosha kumkanya na sio kujitia umwamba wa kumsukuma.Huyu hakuwahi kuwashuhudia hakina Mwameja wakiwapiga kwenzi hakina George Masatu. Hilo ni jambo la kawaida tu kwa wachezaji .
Yule Kanote namuonaga mpole huwa nashangaa anapewa vipi red kila uchwao?Ngoja aje aingie kwenye anga za Kanote alete ufala kama jana aone kama haja chakaa.
Hata mimi nililiona hilo huo ni ushamba wote wanajenga nyumba Moja kulikuwa hakuna haja ya zile kelele,(overreaction)Jana kwenye mechi kati ya Simba na Singida tulishuhudia malumbano kati ya mlinda mlango wa Simba Ali Salimu na beki wa simba Che Malone baada ya kutokea kosa la kimawasiliano kati yao ambalo kidogo lisababishe goli.
Beki hata kama amekosea kuna namna nzuri ya kumkemea na kumuambia awe makini na sio staili aliyo itumia Ali Salimu jana ule ulikuwa ni udhalilishaji na sio kumkanya beki, cha kushukuriwa ni busara na ustaarabu uliopitiliza wa Che malone tofauti na hapo tungeshudia aibu ya mwaka ya wachezaji wa Simba wakipigana makonde mbele ya hadhara ya mashabiki na wageni rasmi.
Na mbaya zaidi ukijaribu kuangalia kwa umakini lile tukio ambalo kidogo lingesabsbisha goli kosa lilikuwa kwa Ali Salimu mwenyewe kwa kuwa mzito na kuchelewa kuufuata ule mpira aliokuwa ameachiwa na Malone.
Hebu fikiria Alichokifanya Ali Salimu jana angemfanyia mchezaji mwenye akili mbovu kama Kanote, Inonga au Nyoso sasa hivi huyo dogo si angekuwa Muhimbili na mashine za kupumulia akipambania maisha yake?
Huyu dogo inabidi atulize mapepe na ulimbukeni awe ajifunze kuwa na hekima na busara, asidanganywe na kifua chake ipo siku ataingia choo chakike.
Picha muhimu.Jana kwenye mechi kati ya Simba na Singida tulishuhudia malumbano kati ya mlinda mlango wa Simba Ali Salimu na beki wa simba Che Malone baada ya kutokea kosa la kimawasiliano kati yao ambalo kidogo lisababishe goli.
Beki hata kama amekosea kuna namna nzuri ya kumkemea na kumuambia awe makini na sio staili aliyo itumia Ali Salimu jana ule ulikuwa ni udhalilishaji na sio kumkanya beki, cha kushukuriwa ni busara na ustaarabu uliopitiliza wa Che malone tofauti na hapo tungeshudia aibu ya mwaka ya wachezaji wa Simba wakipigana makonde mbele ya hadhara ya mashabiki na wageni rasmi.
Na mbaya zaidi ukijaribu kuangalia kwa umakini lile tukio ambalo kidogo lingesabsbisha goli kosa lilikuwa kwa Ali Salimu mwenyewe kwa kuwa mzito na kuchelewa kuufuata ule mpira aliokuwa ameachiwa na Malone.
Hebu fikiria Alichokifanya Ali Salimu jana angemfanyia mchezaji mwenye akili mbovu kama Kanote, Inonga au Nyoso sasa hivi huyo dogo si angekuwa Muhimbili na mashine za kupumulia akipambania maisha yake?
Huyu dogo inabidi atulize mapepe na ulimbukeni awe ajifunze kuwa na hekima na busara, asidanganywe na kifua chake ipo siku ataingia choo chakike.
Hili siyo suala la kumuiga nani sijui b..., ila mafunzo ya mpira niliyopita wakati nakua yanasema, kipa hapaswi kuwa mnyonge mbele ya makosa ya beki.Anamuiga Diarra, mwenzake huwa hafanyi hivyo b…
Mfundisheni kijana wenu kabla hajakutana na ngoma ngumu akachakaa.
Mkiwa kwenye kikosi kinachocheza uwanjani nyote mko rika moja, hakuna mtu mzima wala mtoto, nyote mnaenda na lugha moja tu.Mkuu Che malone ni mtu mzima sio unaweza kumuonesha ukali bila kumsukuma na akakuelewa ,kwa kilicho tokea jana kama sio uvumilivu ulio pitiliza wa Che malone tungeshudia maafa.
Labda hujui soka mkuu. Mimi nazungumzia tukio la jana la Salim siyo la kupigana. Na kama Salim angekuwa amepigana na Che Malone angepewa kadi nyekundu.Kwenye shule za soka mlifundishwa kupigana mwenzako akikosea?
Yule jamaa ni mpole lakini ukiingia kwenye anga zake hashikiki hata wachezaji wenzie wana mjua utofauti wake na nyoso ni Nyoso anapuliza moshi wakati kanote ni mwana dini.Yule Kanote namuonaga mpole huwa nashangaa anapewa vipi red kila uchwao?
Huwa ananishangaza kweli!
Yeye ni mara ngapi anafanya makosa yanayo igharimu timu je alisha sukumwa na nani vile?Mkiwa kwenye kikosi kinachocheza uwanjani nyote mko rika moja, hakuna mtu mzima wala mtoto, nyote mnaenda na lugha moja tu.
Kwa mchezaji aliyeshiba mafunzo hawezi kupigana kwa kuelekezwa na kipa wake. Ndiyo maana Che Malone alielewa na kupunguza makosa.
Ova
Hii ina-sound kama vile unasema mzazi naye huwa anakosea mara ngapi, mbona wanawe hawachukui fimbo kumtandika bakora.Yeye ni mara ngapi anafanya makosa yanayo igharimu timu je alisha sukumwa na nani vile?
Jana Ali Salimu alikuwa haelekezi bali alikuwa ana tafuta ugomvi kwa razima ,huwezi kumsukuma namna hiyo mtu mzima zaidi ya mara tatu.
Che malone alikuwa anajaribu kumuepuka lakini bado dogo ana mfuata na kumsukuma.
Upole wake ni wa mwonekano tu, ila kwenye vitendo ni tofauti. Unamkumbuka JK?Yule Kanote namuonaga mpole huwa nashangaa anapewa vipi red kila uchwao?
Huwa ananishangaza kweli!
Wewe utakubali sasa b…?Hili siyo suala la kumuiga nani sijui b..., ila mafunzo ya mpira niliyopita wakati nakua yanasema, kipa hapaswi kuwa mnyonge mbele ya makosa ya beki.
Ova
Mtu huonywa sawasawa na uzembe wake b..., ukifanya uzembe mkubwa utakoromewa vivyo hivyo. Ng'ombe huchinjwa kwa namna anavyolala.Wewe utakubali sasa b…?
Sijapinga hilo, ndio maana nikasema mfundisheni, kuna namna za kusema na mabeki zake sio kwa namna ile.
acheni kusifu upuuzi mambo mengine sio ya kusifia kama kocha hawezi kumfanyia hivyo mchezaji Ike kua mchezaji mwenzake?Huyu hakuwahi kuwashuhudia hakina Mwameja wakiwapiga kwenzi hakina George Masatu. Hilo ni jambo la kawaida tu kwa wachezaji .
Yaani umenena mkuu, he is barbarian! Pongezi kwa Che Malone kutuepusha Simba na aibu ya mwaka! Maana angereact, yaani wangerushiana makonde, hapo ndipo aibu, yaani watu wangesema, kuandika na ata mabango wangebandika.Na ni mbaya sana kum provoque mtu mzima maana hajui jamaa akiwa na hasira huwa anafanya Nini.
Binafs nilipoona clip nilistuka mana jamaa kama angerusha ngumi pale : ukweli wangepigana na ni aibu.
Kuna namna dogo afundishwe nidham na awe responsibile. Wajifunze kwa ayub jamaa ni mstaarabu sna
Jamaa yule dogo kafanya makosa 2
1. Kumfokea mchezaji mwenzie hadharani as yeye ni father
2. Kumshika, that was a turning point afundishwe asifanye hivo Tena maana next time anaweza kuvunjwa shingo na kisheria yeye ndio anashida.
Kuna msemo unasema ongea but usiniguse….. maana ukinigusa you are provoking me and I will act and defend
Mfikishieni huu ujumbe, asioneshe Kama yeye yupo serious kuliko wengine.
Binafsi nimemdharau sana na nilikuwa namuona ni kijana mwenye career path Nzuri kumbe ni uharo kama uharo mwingine
respect to malone, such a gentleman. Kama sio busara zake , jana SSC ingeingia kwenye aibu ya mwaka.
Ongea but don’t touch me , hiyo ni principle hata Mahakaman ; ukianza kunigusa means unahitaji vita na nitakulipua.
Guys kufoka hakukufanyi uonekana upo serious na kazi . Just know how to deliver message in a respect way na utaheshimika
Huyu dogo ni MMAKONDE au yaani ni pure Baribarian( uncivilized society)