Kilichoitafuna Chadema ni kutokurudisha ruzuku Kwa wananchi

Kilichoitafuna Chadema ni kutokurudisha ruzuku Kwa wananchi

Wazolee

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2018
Posts
3,183
Reaction score
3,660
Chadema mlimwaga sera Kwa wananchi na wananchi na wananchi wakazikubali sera zenu wakakupeni kura zao mkazoa majimbo mengi tu na hatimaye Chama kikawa kinapata ruzuku kubwa sana

Mkajisahau kama wananchi wanamchango mkubwa sana katika ruzuku mnazo zipata

Mlitakiwa muwe mnarudusha shukran Kwa wananchi Ili waendelee kuona umuhimu wenu

1) mlitakiwa mnunue vitanda vya wajawazito na kupeleka hospital yoyote Kila Baada ya mwaka au miezi kadhaa

2) mlitakiwa mnunue madawati na kupeleka katika shule Kila Baada ya mwaka au miezi kadhaa

3) Katika ofisi zenu mlitakiwa muwe na vifurushi vya vifaa vya kujifungulia wajawazito Ili wasio na uwezo wawe wanakuja kuichukua

4) Mlitakiwa mnunue baiskeli za walemavu na kugawa Kwa walemavu wasio na uwezo wa kununua baiskeli

5) Mlitakiwa muwe na mikopo yenye mashariti nafuu Kwa akina mama wajasilia Mali wadogo wadogo

Hapo mngekuwa mmegusa makundi yote ya wapiga kura wenu
Yani kama mngefanya hayo mngekuwa mnazoa kura bila ya shida yoyote
 
Chadema mlimwaga sera Kwa wananchi na wananchi na wananchi wakazikubali sera zenu wakakupeni kura zao mkazoa majimbo mengi tu na hatimaye Chama kikawa kinapata ruzuku kubwa sana

Mkajisahau kama wananchi wanamchango mkubwa sana katika ruzuku mnazo zipata

Mlitakiwa muwe mnarudusha shukran Kwa wananchi Ili waendelee kuona umuhimu wenu

1) mlitakiwa mnunue vitanda vya wajawazito na kupeleka hospital yoyote Kila Baada ya mwaka au miezi kadhaa

2) mlitakiwa mnunue madawati na kupeleka katika shule Kila Baada ya mwaka au miezi kadhaa

3) Katika ofisi zenu mlitakiwa muwe na vifurushi vya vifaa vya kujifungulia wajawazito Ili wasio na uwezo wawe wanakuja kuichukua

4) Mlitakiwa mnunue baiskeli za walemavu na kugawa Kwa walemavu wasio na uwezo wa kununua baiskeli

5) Mlitakiwa muwe na mikopo yenye mashariti nafuu Kwa akina mama wajasilia Mali wadogo wadogo

Hapo mngekuwa mmegusa makundi yote ya wapiga kura wenu
Yani kama mngefanya hayo mngekuwa mnazoa kura bila ya shida yoyote
mbona kama nakumbuka kuna msaada ulitaka kutolewa sisiem wakakataa kwa kumtumia mkuuu wa eneo husika
 
Back
Top Bottom