William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Kila aliyepinga usajili wa Ayoub Linkel alishugulikiwa.
Timu iliyoshindwa kulipa wachezaji bonasi za zaidi milion 500 msimu huu na uliopita. Iliumiza sana wachezaji kuona inapata billion 3 kusajili kipa garasha..
Waliifunga yanga 2-0 wakazulumiwa bonasi zao za m 300.
Kabla ya gemu Mo kaja na uongo ule ule. Kaweka mezani kwenye begi million300. Katoa ahadi wakishinda. Nani angeamini.
Viongozi bado wanataka kupiga dili tena kuleta kocha mweupe wa mchongo.
Thamani halisi ya ayoub Lakred ni dola m 1.3 sawa na tsh bilion 3. Fedha yote aliyotoa mo usajili msimu huu ilimnunua huyu jamaa pekeyake.
Timu iliyoshindwa kulipa wachezaji bonasi za zaidi milion 500 msimu huu na uliopita. Iliumiza sana wachezaji kuona inapata billion 3 kusajili kipa garasha..
Waliifunga yanga 2-0 wakazulumiwa bonasi zao za m 300.
Kabla ya gemu Mo kaja na uongo ule ule. Kaweka mezani kwenye begi million300. Katoa ahadi wakishinda. Nani angeamini.
Viongozi bado wanataka kupiga dili tena kuleta kocha mweupe wa mchongo.
Thamani halisi ya ayoub Lakred ni dola m 1.3 sawa na tsh bilion 3. Fedha yote aliyotoa mo usajili msimu huu ilimnunua huyu jamaa pekeyake.