Kilichojiri Kisutu: Kesi za Jamhuri dhidi ya JamiiForums

Kilichojiri Kisutu: Kesi za Jamhuri dhidi ya JamiiForums

Hii ni kesi dhidi ya Melo & Mike(Jamii Forums), na JF ni sisi members, akishindwa Melo tumeshindwa wote humu.

Naamini tutashinda.
Ni kweli Mkuu...!!!
Wanataka kutuvurugia KIJIWE chetu,hawajui wengine hatujazoea na hatuna muda wa kushinda kwenye vile vijiwe vya Kahawa/Bange/Plama nk ambavyo wameweka informers wao.

JF its where we dare to talk open bila kupata matatizo yoyote ili mradi usitukane MTU bhuna..,yani unakaa ofisini au chumbani au kwenye gari au subuleni kwako unaeleza hisia zako.

Mods Mungu yu pamoja nasi tutashinda tuu.
 
Ni kweli Mkuu...!!!
Wanataka kutuvurugia KIJIWE chetu,hawajui wengine hatujazoea na hatuna muda wa kushinda kwenye vile vijiwe vya Kahawa/Bange/Plama nk ambavyo wameweka informers wao.

JF its where we dare to talk open bila kupata matatizo yoyote ili mradi usitukane MTU bhuna..,yani unakaa ofisini au chumbani au kwenye gari au subuleni kwako unaeleza hisia zako.

Mods Mungu yu pamoja nasi tutashinda tuu.
Miie wakiifungia JF ntawalaani kwa mengii. Mike na Max mna watu wengi nyuma yenu basi tu hatuwezi wote kuwa mbele. Mungu ni mwema mtalivuka jaribu hili salama.
 
Mkuu, saizi zinaendelea kusikilizwa kama kawaida. Yes, December 2017 tulienda mkikimkiki sana (wiki mbili mfurulizo), ila ghafla ikaamuriwa hukumu zimeahirishwa hadi mwaka huu 2018.

Kwahiyo hizo kesi zimefikia wapi? Mara ya mwisho nakumbuka zilikua zinasikilizwa mfululizo ili mahakama itoe hukumu.
 
Lkn ukweli ni kwamba serikal haiwezi kutufunga midomo watanzania wote.

Imagine kwenye vyombo ya usafiri hatutakiwi kujadili Hali ya siasa wala uchumi.....

Mkikaa kijiaen Nako hairuhusiwi mnaitwa wazururaj ama.wapiga dili.

Mavyuoni nako sio rasmi lkn wanavyuo Hawaii huru kujadili haya kwa uwazi

Mm najiuliza hivi Ben aliyetuambiaga uwazi na ukweli na kkwa sera yake hii hakuna hata aliyepata lash ash. Kwann Sasa iwe hata tukisema yale ambayo yangesaidia serikal kufichua uovu nayo tunanyimwa?

Mfano mzuri jaman ni Hali ya ugonjwa waa malaria nchini na kuongezeka kwa mazalia ya mbu. Yaan mtu pata dalili zote za malaria ukienda Hosp kwenye mrdt ataambiwa malaria neg. Ila nenda wanakopima kwa microscope utakuta unayo. Huu ni uongo mwingine Ambao serikal haitaki usemwe kwamb malaria Bado haijadhibitiwa. Lkn mtu unahofia ukiwka bandiko unamuongezea tema maxence kesi ingine.

Jaman tuachwe tuseme kwa uwazi na ukwel
 
Am so happy to see you Asha D Abinallah .
In God we trust long live jf.

Nimefurahi Zaidi my dear... It is good to see you too. Inshaallah, God is great!

Lkn ukweli ni kwamba serikal haiwezi kutufunga midomo watanzania wote.

Imagine kwenye vyombo ya usafiri hatutakiwi kujadili Hali ya siasa wala uchumi.....

Mkikaa kijiaen Nako hairuhusiwi mnaitwa wazururaj ama.wapiga dili.

Mavyuoni nako sio rasmi lkn wanavyuo Hawaii huru kujadili haya kwa uwazi

Mm najiuliza hivi Ben aliyetuambiaga uwazi na ukweli na kkwa sera yake hii hakuna hata aliyepata lash ash. Kwann Sasa iwe hata tukisema yale ambayo yangesaidia serikal kufichua uovu nayo tunanyimwa?

Mfano mzuri jaman ni Hali ya ugonjwa waa malaria nchini na kuongezeka kwa mazalia ya mbu. Yaan mtu pata dalili zote za malaria ukienda Hosp kwenye mrdt ataambiwa malaria neg. Ila nenda wanakopima kwa microscope utakuta unayo. Huu ni uongo mwingine Ambao serikal haitaki usemwe kwamb malaria Bado haijadhibitiwa. Lkn mtu unahofia ukiwka bandiko unamuongezea tema maxence kesi ingine.

Jaman tuachwe tuseme kwa uwazi na ukwel

Upo sahihi. Ukifikiria sana kuna wakati unaweza pata hasira ya kichaa kabisa.

Kwa kiasi kikubwa kama wananchi, kuna incontrollable makosa ambayo ni 'Makosa Matokeo' ya kile kinachojiri. Yaani wananchi kuna wakati tunatumia nguvu kubwa sana ya kutatua vizingiti (obstacles?) na matatizo haya yanayotuzunguka na tunasahau, tunatakiwa tu tutafute njia mbadala wa kuendana na mazingira ili kuweza kuyashinda mapungufu kwa manufaa ya wananchi na taifa. Kama taifa na wananchi tuna safari ndefu, hivyo it is a process.

Kuna watu ambao wanadhani matatizo ni ya 'Watu fulani', hawajui tu kwamba bado zamu zao au za watu wao wa karibu hazijafika. Mdogo mdogo, tutafika...
 
Ni kweli Mkuu...!!!
Wanataka kutuvurugia KIJIWE chetu,hawajui wengine hatujazoea na hatuna muda wa kushinda kwenye vile vijiwe vya Kahawa/Bange/Plama nk ambavyo wameweka informers wao.

JF its where we dare to talk open bila kupata matatizo yoyote ili mradi usitukane MTU bhuna..,yani unakaa ofisini au chumbani au kwenye gari au subuleni kwako unaeleza hisia zako.

Mods Mungu yu pamoja nasi tutashinda tuu.


Mwisho wa madhalimu ni Khasara. Watashindwa Tu. Mungu yuko pamoja na wanyonge
 
Hata waite mara 10,000 ila hao ' Waitaji ' watambue tu ya kwamba Mwenyezi Mungu yupo upande wa JamiiForums na wataibuka Washindi. JamiiForums msiogope kwani ' Dua ' zetu siku zote zipo nanyi na tambueni ya kwamba tunawapenda Kunakotukuka.
Ila wee jamaa uko smart nahisi una gruop 0+ la damu .

Lasivo wew ni wale usalama wasio rasmi.
Nadhani umeshanielewa.
 
Ila wee jamaa uko smart nahisi una gruop 0+ la damu .

Lasivo wew ni wale usalama wasio rasmi.
Nadhani umeshanielewa.

Ha ha ha ha ha ha ha......Mkuu bhana! Hapana siko huko ' Eagle Wing House ' Oysterbay ( SSIT ) unakokusema na sidhani hata kwa tabia zangu kama nina ' chembe ' ya ' Sifa ' ya kuwa mmoja wao. Kuhusu Group la Damu umepatia 100% na ni kweli nipo O+ na uliposema nipo ' Smart ' wala hujakosea Mkuu kwani huwezi ukawa na ' Damu ' ya Kizanaki / Kitutsi iliyochanganyika na ya Kimakua na Kiyao ukawa mbayuwayu / hovyo hovyo Kichwani.
 
Back
Top Bottom