anti-negative energy
Senior Member
- Apr 13, 2019
- 114
- 71
Ndani ya sutiKOTINI ndio wapi?
Kwani wewe ni binti wa marehum nyaulingo? Kusema kuwa ulikuwa busy na 'maflash' kiasi kwamba "hujui yanayotendeka yudea?jamani wana forum mnisaiudie nilitaka nijue ni kwa nn huyu mwanzilishi wa jamii forum yupo kotini, je ni kweli ana makosa au amebambikiwa kesi, na serikali inaitazama jamii forum kwa jicho gani, je inasupport movement za uhuru wa kuongea? ni hayo tu wapendwa
Hujui Koti mkuu?KOTINI ndio wapi?
Wacha atutaje! Kwani tumemtukana mtu?Kila Leo kesi zinamtesa, siku aamue kututaja tumeshaa
Wakati watu wanachagua makabila kuna Siasa kubwa ya utani ambao unatufanya akili ya mwanadamu iwe inatikili kuwa KABILA moja ni Bora kuliko lingine... SASA turudi kwenye uhalisia wa mambo:Halafu unakuja kuambiwa kuwa Mlalamikaji ameamua kuachana na kesi hio....
Tutashinda na zaidi ya kushinda, hivi vita vilianza tangu miaka ile ya Jambo Forum na CCM ndio alikua kinara.....kama tulishindo 2006 tuatshinda tena na tena.
Asha D Abinallah natafuta sana t-shirt, ile imeshachakaa sasa. ile ya siku zile Ocean Road