Kwa kumbukumbu zangu hii ni mara ya 3, ila kwa baht nzuri anakunya kidogo tu halafu anawahi kutoka kwenye event kwenda kumalizia shuhuli chooni hivyo hashtukiwi haraka.
Kuna kufunga ndoa kati ya Mkristo na yule mwingine?
Italazimika Zari amkane Kristo kwanza, ataweza kama anakielewa alichokikimbia kule?
Mimi nadhani hatua ya kwanza ni kumpata Mtumishi wa Mungu, aseme na Sibu, Sibu ajifunze habari za Mungu. Akimjua Mungu, wafanye maamuzi kwa ufahamu maamuzi ya kweli.
Hii ukungu ukungu hii, hata haeleleweki ni kwa nini wanapotezeana mida hawa jamaa. Lakini nawahurumia sana watoto wa Zari.