warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Haya jamani wale Mashilawadu mlioalikwa kwenye Arobaini ya Nillan please msitusahau kutupenyezea maubuyu.
Nillan kaavaje?
Jamani mhakikishe mnaichunguza vizuri nyumba ya Diamond mtupe umbea ikoje, maana nasikia sherehe imeanza toka saa tano.
Mmhh kama namuona Halima Kimwana vile na mijishauo yake..
Katika hali ya kuonyesha kuwa hana imani na wageni waalikwa walioudhuria party ya mwanae, mjasiriamali zari ameamua kubeba kabisa funguo za nyumba yake mkononi jambo lililozua minongono kwa baadhi ya waalikwa, zari hataki upuuzi kabisa anaogopa kuibiwa dhahabu zake, bora mwaego ufiche kabisa hata ungeweka kwenye pichu kabisa kwanza wabongo washirikina hawachelewi kufanya yao,sema umejitahidi kujikaza naona party walijaa watu wa tandale tu, bibie ukaamua kujikaza kujumuika na
Nillan kaavaje?
Jamani mhakikishe mnaichunguza vizuri nyumba ya Diamond mtupe umbea ikoje, maana nasikia sherehe imeanza toka saa tano.
Mmhh kama namuona Halima Kimwana vile na mijishauo yake..
Katika hali ya kuonyesha kuwa hana imani na wageni waalikwa walioudhuria party ya mwanae, mjasiriamali zari ameamua kubeba kabisa funguo za nyumba yake mkononi jambo lililozua minongono kwa baadhi ya waalikwa, zari hataki upuuzi kabisa anaogopa kuibiwa dhahabu zake, bora mwaego ufiche kabisa hata ungeweka kwenye pichu kabisa kwanza wabongo washirikina hawachelewi kufanya yao,sema umejitahidi kujikaza naona party walijaa watu wa tandale tu, bibie ukaamua kujikaza kujumuika na