Kilichokuwa Nyuma ya Story yangu ya kusaka Utajiri Kongo DRC

Kilichokuwa Nyuma ya Story yangu ya kusaka Utajiri Kongo DRC

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Naona wengi mnanichukia na kuniita majina yote mabaya.Fisadi, Tajiri Mjeuri, Handsome Boy, Billionea Chizi n.k

Ile story nlilazimika kuisitisha baada ya wahusika kunifuata na kutaka niisitishe na walitoa sababu zao. Mbaya zaidi mmoja ana connection kubwa sababu ya biznez zake za Madawa.

Nami napenda kuendelea kuwemo JF msidhan kipindi hicho mnaandika hashtags zenu za #bring back chizi maarifa# hata ntakuwa nazisoma huko nliko.

Kifupi jamaa alitumika na mtoto mmoja wa kigogo ktk hiyo business mpaka kuwa mkubwa sana. Na wana connection kubwa sana. Ukiacha jamaa yangu aliyeenda fanya biashara za Uvuvi wa samaki. Huyu yeye aliendelea na utajiri wake wa kishirikina na sasa ana pesa sana. Amejenga sana guest houses,nyumba na bars na ana boats nyingi za uvuvi.

Ila hakai na wake. Ana mambo mambo mengi. So msinione kwa jicho baya. Nawapenda sana wana JF nanyi mnipende.
 
Welcome back chiz bilionea raia zilikua na hasira na wewe balaa
 
Naona wengi mnanichukia na kuniita majina yote mabaya.Fisadi, Tajiri Mjeuri, Handsome Boy, Billionea Chizi n.k

Ile story nlilazimika kuisitisha baada ya wahusika kunifuata na kutaka niisitishe na walitoa sababu zao. Mbaya zaidi mmoja ana connection kubwa sababu ya biznez zake za Madawa.

Nami napenda kuendelea kuwemo JF msidhan kipindi hicho mnaandika hashtags zenu za #bring back chizi maarifa# hata ntakuwa nazisoma huko nliko.

Kifupi jamaa alitumika na mtoto mmoja wa kigogo ktk hiyo business mpaka kuwa mkubwa sana. Na wana connection kubwa sana. Ukiacha jamaa yangu aliyeenda fanya biashara za Uvuvi wa samaki. Huyu yeye aliendelea na utajiri wake wa kishirikina na sasa ana pesa sana. Amejenga sana guest houses,nyumba na bars na ana boats nyingi za uvuvi.

Ila hakai na wake. Ana mambo mambo mengi. So msinione kwa jicho baya. Nawapenda sana wana JF nanyi mnipende.
Sasa tukuchinjie mbuzi au...!
 
Naona wengi mnanichukia na kuniita majina yote mabaya.Fisadi, Tajiri Mjeuri, Handsome Boy, Billionea Chizi n.k

Ile story nlilazimika kuisitisha baada ya wahusika kunifuata na kutaka niisitishe na walitoa sababu zao. Mbaya zaidi mmoja ana connection kubwa sababu ya biznez zake za Madawa.

Nami napenda kuendelea kuwemo JF msidhan kipindi hicho mnaandika hashtags zenu za #bring back chizi maarifa# hata ntakuwa nazisoma huko nliko.

Kifupi jamaa alitumika na mtoto mmoja wa kigogo ktk hiyo business mpaka kuwa mkubwa sana. Na wana connection kubwa sana. Ukiacha jamaa yangu aliyeenda fanya biashara za Uvuvi wa samaki. Huyu yeye aliendelea na utajiri wake wa kishirikina na sasa ana pesa sana. Amejenga sana guest houses,nyumba na bars na ana boats nyingi za uvuvi.

Ila hakai na wake. Ana mambo mambo mengi. So msinione kwa jicho baya. Nawapenda sana wana JF nanyi mnipende.
Napenda sana uendelee kusimulia ila chamuhimu angalia na usalama wako
 
Nilipoona story ya kifo cha kamanda wa Mwanza nikaelewa kwanini ulisitisha.
Uhai wako ni muhimu kwa familia yako na watu wanaokutegemea
 
Back
Top Bottom