shikamkono01
JF-Expert Member
- Mar 26, 2016
- 685
- 2,055
- Thread starter
-
- #21
ile dhamana ndugu au ukiwa tu na leseni unaendesha chombo cha watu? Gari lilipozimika watu walianza kumpa dereva huduma ya kwanza na gari ikawekwa pembeni na akachukuliwa kwenye ambulance nasi tukapandishwa ktk basi jingineAngejitolea japo mmoja wenu
kukaa karibu ni jambo moja na kulipokea jambo kwa wakati ni jambo jingine,sitaki kumnyooshea kidole yoyote ktk hao itoshe tu kujua ulikuwa ni mshtuko kiukweli na hakuna aliyejiandaa kwa lile tukioUsiwashangae wao walidhani ni mbwembwe tu za madereva, jambo ambalo silielewi ni kondakta na utingo walikuwa wapi wakati huwa wanakaa mbele na dereva!
ktk ujumbe wote umeona hilo tu? Pole na nisamehe mie mtoa mada,siku njemaHakuna nukta wala mkato?
ahsante ndugu tumeumbwa tofauti dunianiUjumbe umefika tayarii
Hata wengine wamehoji kuwa gari limekwenda tuu bila mtu kushika usukani mpaka likasimama lenyewe huku hao niliowataja wanakuwa na dereva sambamba wala si nyuma.kukaa karibu ni jambo moja na kulipokea jambo kwa wakati ni jambo jingine,sitaki kumnyooshea kidole yoyote ktk hao itoshe tu kujua ulikuwa ni mshtuko kiukweli na hakuna aliyejiandaa kwa lile tukio
kaka umesoma ujumbe vyema? Au fatilia majibu yangu ni kuwa gari lilitembea ndani ya sekunde 50 hadi dakika 1.30 na Mungu jaalia halikuwa ktk mwendo mkali na inavyoonekana dereva alikuwa ameshaanza kujickia hovyo ila hakuwa na nafasi ya kujielezea au kucmamisha chomboHata wengine wamehoji kuwa gari limekwenda tuu bila mtu kushika usukani mpaka likasimama lenyewe huku hao niliowataja wanakuwa na dereva sambamba wa si nyuma.
Kwa kuweza kutoa ushuhuda inamaana hongera Kwa kutokufa mapema. poles Kwa ndugu wa marehemu.ni mitihani ya safarini ndugu ila sijajua hongera ktk jambo gani nashindwa kuipokea
Dereva aliangukaje akiwa kwenye kiti?Siku ya Jumamosi tarehe 11/09/2021 nikiwa mmoja wa abiria ambaye nilipandia gari Moro kuelekea Dodoma muda wa jioni gari ikiwa inatokea Dar tulipofika Dumila ghafla dereva alianguka akiwa kwenye mwendo na kupelekea gari kwenda lenyewe hadi lilipozimika na Mungu jaalia halikuwa ktk mwendo na kwa habari nilizozipata siku ya jumanne nilipopita tena pale Msamvu niliambiwa kuwa yule dereva alikufa na ameshazikwa kwao Tanga na alikuwa na matatizo ya sukari ya kushuka
Angalizo ni wamiliki kuwapa mapumziko stahiki kwa madereva wao kwani wanabeba dhamana kubwa ya roho za watu na wakati wa tukio yaani hakukuwa na dereva wa ziada na ikabidi hadi tuamishiwe ktk gari nyingine