Monica Mgeni
Member
- Oct 7, 2021
- 82
- 134
Funguka tafsiri yako kuhusu hizi Katuni tuone nani ana tafsiri sahihi iliyolengwa na mchoraji Said Michael
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi karibuniNje ya mada,hii kitu kuna siku itamkuta Zitto Zuberi Kabwe
😅😅kwanini MkuuNje ya mada,hii kitu kuna siku itamkuta Zitto Zuberi Kabwe
Asante, uko sahihi na nimekuelewaAlijipendekeza kwà ccm akafie mbele huko
Maana sahv ACT ina nguvu Zanzibar,na wazanzibar hawamkubali zitto wanaona muda wowote anaweza wasariti😅😅kwanini Mkuu
Hiyo sio shida, shida ya Mbatia ni hizi;Nachojua ni kwamba Mbatia aliungana na Ndugai alipopinga tozo na kutaka kumtetea asifukuzwe uspika.