Kilichomkuta Mwarabu aliyempiga kibao Sheikh Amri Abeid

Kilichomkuta Mwarabu aliyempiga kibao Sheikh Amri Abeid

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Shekhe Amri Abeid ni mmoja ya washairi maarufu Tanzania na Meya wa kwanza Mwafrika ambaye pia ni mwanafunzi mwenzake wa Baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakiwa wamesoma wote shule moja ya Tabora.

Siku moja Moja Shekhe Amri Abeid akiwa na Shekhe Mubaarak walikuwa wakipita katika mji wa Mombasa katika kazi za kuhubiri dini, lakini ghafla akaja mwarabu mmoja aliekuwa akishughulika na uuzaji bucha na kumpiga Shekhe Abeid Kibao ambacho kilimpeleka chini na kusababisha miwani yake kudondoka na kofia kutoka kichwani.

Amri Abeid kwa upole kabisa aliokota kofia na miwani take akajifuta vumbi na kuvaa, huku Shekhe Mubaarak akimwambia kwa upole waondoke, na wakaondoka.

Miaka michache baadae Shekhe Mubaarak alipita katika eneo hilo na kukutana na mtu mmoja kipofu na mtu yule akajitambulisha kuwa yeye ndie aliyempiga Shekhe Kaluta kibao hivyo anaomba msamaha.

Shekhe Mubaaraka alimsihi sana mtu yule kumuomba mwenyezi Mungu msamaha kwani wakati akifanya kitendo kile wao walikuwa katika kazi ya kuhubiri maneno ya Mwenyezi Mungu.

Tukumbuke kwamba Shekhe Kaluta Amri Abeid ndie mtu mwenye jina la uwanja wa mpira wa Shekhe Amri Abeid wa Arusha.

Ni mtunzi wa mashairi, mtaalamu wa fasihi na lugha ya Kiswahili, Waziri, Meya wa kwanza muafrika na Mkuu wa Mkoa.
 
NUKUU:
*Miaka michache baadae Shekhe Mubaarak alipita katika eneo hilo na kukutana na mtu mmoja kipofu na mtu yule akajitambulisha kuwa yeye ndie aliyempiga Shekhe Kaluta kibao hivyo anaomba msamaha.*

MKUU..
KIPOFU ALIWEZAJE KUMTAMBUA MUBARAK?.

NA ILIKUWAJE MZIMA WA MACHO(sheikh Mubarak)ASHINDWE KUMTAMBUA YULE KIPOFU, ILA KIPOFU KATIKA UPOFU WAKE AKAMTAMBUA MUBARAK?.

Akili yangu imegoma kabisa juu ya hii habari yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NUKUU:
*Miaka michache baadae Shekhe Mubaarak alipita katika eneo hilo na kukutana na mtu mmoja kipofu na mtu yule akajitambulisha kuwa yeye ndie aliyempiga Shekhe Kaluta kibao hivyo anaomba msamaha.*

MKUU..
KIPOFU ALIWEZAJE KUMTAMBUA MUBARAK?.

NA ILIKUWAJE MZIMA WA MACHO(sheikh Mubarak)ASHINDWE KUMTAMBUA YULE KIPOFU, ILA KIPOFU KATIKA UPOFU WAKE AKAMTAMBUA MUBARAK?.

Akili yangu imegoma kabisa juu ya hii habari yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa! Hii kweli ngumu kumeza.
 
NUKUU:
Miaka michache baadae Shekhe Mubaarak alipita katika eneo hilo na kukutana na mtu mmoja kipofu na mtu yule akajitambulisha kuwa yeye ndie aliyempiga Shekhe Kaluta kibao hivyo anaomba msamaha.

MKUU..
KIPOFU ALIWEZAJE KUMTAMBUA MUBARAK?.

NA ILIKUWAJE MZIMA WA MACHO(sheikh Mubarak)ASHINDWE KUMTAMBUA YULE KIPOFU, ILA KIPOFU KATIKA UPOFU WAKE AKAMTAMBUA MUBARAK?.

Akili yangu imegoma kabisa juu ya hii habari yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tu hivyo, mwanzo anasema walikuwa wanatembea tu ndio wakakutana na huyo mwarabu, miaka michache baadae yule shekhe anapita tena eneo lilelile anakutana na mtu yuleyule eti amekuwa kipofu hahahahahah hii chai haina sukari.

Halafu umerudia mara mbilimbili kuhusu uwanja wa Arusha kupewa jina lake, vina uhusiano gani na yeye kupigwa kibao?
 
Sio tu hivyo, mwanzo anasema walikuwa wanatembea tu ndio wakakutana na huyo mwarabu, miaka michache baadae yule shekhe anapita tena eneo lilelile anakutana na mtu yuleyule eti amekuwa kipofu hahahahahah hii chai haina sukari.
Halafu umerudia mara mbilimbili kuhusu uwanja wa Arusha kupewa jina lake, vina uhusiano gani na yeye kupigwa kibao?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio tu hivyo, mwanzo anasema walikuwa wanatembea tu ndio wakakutana na huyo mwarabu, miaka michache baadae yule shekhe anapita tena eneo lilelile anakutana na mtu yuleyule eti amekuwa kipofu hahahahahah hii chai haina sukari.
Halafu umerudia mara mbilimbili kuhusu uwanja wa Arusha kupewa jina lake, vina uhusiano gani na yeye kupigwa kibao?
Acha kujichanganya basi dogo,yani ulitegemea kichwa cha habari ndo ibakiwa kuwa habari yenyewe,kua kidogo,jiongeze wakati mwingine.
 
NUKUU:
*Miaka michache baadae Shekhe Mubaarak alipita katika eneo hilo na kukutana na mtu mmoja kipofu na mtu yule akajitambulisha kuwa yeye ndie aliyempiga Shekhe Kaluta kibao hivyo anaomba msamaha.*

MKUU..
KIPOFU ALIWEZAJE KUMTAMBUA MUBARAK?.

NA ILIKUWAJE MZIMA WA MACHO(sheikh Mubarak)ASHINDWE KUMTAMBUA YULE KIPOFU, ILA KIPOFU KATIKA UPOFU WAKE AKAMTAMBUA MUBARAK?.

Akili yangu imegoma kabisa juu ya hii habari yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anajifunza kuanzisha Uzi jf siunaona kajiweka na picha yake ya kweli pale kwa I.D
 
Back
Top Bottom