Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kama mtakumbuka, kipindi hiki cha miaka mitano ya utumwa ya bwana yule kulitokea upuuzi wa Polisi kukamatakamata watu hasa upinzani kipuuzipuuzi.
Kuna siku Balozi Adadi alisimama bungeni na kueleza kuwa kilichokuwa kinafanyika ni uhuni na kwamba kuna taratibu zake za kumkamata mtuhumiwa na kwamba Polisi wanazijua vyema.
Alienda mbali na kusema kuwa, huwezi kumkamata mtu kienyeji tu kwa shinikizo la wana siasa!! Kauli ile najua haikumpendeza bwana yule Na kwakuwa jamaa ni mtu wa visasi basi huu ndio ulikua muda muafaka wa kulipiza kisasi.
Mungu ibariki Tanzania
Soma
Video kutoka Maktaba: Hotuba nzuri sana ya Adadi Rajabu bungeni, tuwe na tubakie humo
Kuna siku Balozi Adadi alisimama bungeni na kueleza kuwa kilichokuwa kinafanyika ni uhuni na kwamba kuna taratibu zake za kumkamata mtuhumiwa na kwamba Polisi wanazijua vyema.
Alienda mbali na kusema kuwa, huwezi kumkamata mtu kienyeji tu kwa shinikizo la wana siasa!! Kauli ile najua haikumpendeza bwana yule Na kwakuwa jamaa ni mtu wa visasi basi huu ndio ulikua muda muafaka wa kulipiza kisasi.
Mungu ibariki Tanzania
Soma
Video kutoka Maktaba: Hotuba nzuri sana ya Adadi Rajabu bungeni, tuwe na tubakie humo