Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ndio maana nikaanza na TETESIHii nayo ni assumption
Wasomi kama Kibajaji na Msukuma.Magufuli anataka wasomi tu, nothing else.
Mwakyembe hajasoma?Magufuli anataka wasomi tu, nothing else.
Huenda aliuza siri kablaNa yule Jamaa anayetokea Chemba aliyekuwa anang'ang'aniza Bw Mkubwa aongezewe muda mbona naye yamemkuta, ina maana nae alimuudhi Bw Mkubwa?.
Ila tuwe tu wakweli, hivi Adadi Rajabu ni wa kushindwa na MwanaFA? Hebu afanye maamuzi magumu tuone nini kitafuata!Akalime tu kiunua mgongo kinamtosha kuendelea na maisha ya uraiani
Yeah umesema kweliIla tuwe tu wakweli, hivi Adadi Rajabu ni wa kushindwa na MwanaFA? Hebu afanye maamuzi magumu tuone nini kitafuata!
Hahaaaaaa........... 😁 😆Wasomi kama Kibajaji na Msukuma.
Hahahaha hahahahaAngalia vizuri walioteuliwa, vijana wote wenye umri wa miaka 20+ wenye shule na waliogombea na kupata kura chache wamepitishwa kugombea lengo ni kuweka damu changa katika system za chama, CCM haiwazi uchaguzi wa 2020 inawaza pia wa 2030.