Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,142
- Thread starter
- #141
Yajayo yanasikitisha mkuuYeah.....kama nawaona TRA nao wakimnyemelea!
Ni hatari kuwa sahihi vs serikali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yajayo yanasikitisha mkuuYeah.....kama nawaona TRA nao wakimnyemelea!
Ni hatari kuwa sahihi vs serikali.
use Ur ballsMkuu mimi sijawahi kupanda ndege, hapa nachangamsha kijiwe tu, vipi nasikia ukipanda ndege huko juu panatisha sana ni kweli? Use your head.
Ukweli ni upi kosa lipo upande upi?Hilo suala lilichunguzwa na team ilitumwa haraka mpaka pale, bahati nzuri CCTV huwa hazidanganyi kwenye suala zima la muda, utachezea kote lakini huwezi kubadilisha footage imechukuliwa muda gani, ukweli ukabainika
Rejea bandiko langu pale juu mkuuUkweli ni upi kosa lipo upande upi?
If you use ur balls in thinking instead of your upper head that's when you give opinions like yours. Man up!use Ur balls
Well said mkuu, kula 5Air Tanzania hawana haja ya kutaja muda ambapo mteja amefika airport. Inaeleweka reporting time kwenye check in counter. Sasa kama umekuja mapema na ukaanza kuongea na marafiki zako wakati wenzako waliokuja nyuma yako wana check in halafu wewe unapokuta desk limefungwa na makosa yako.
Kilichotakiwa kufanywa na huyo kijana, ni kufanya booking kwa siku nyingine na awahi airport ku-check kwa wakati. TUACHE SIASA ZA KITOTO
Hapo ndipo upeo wako ulipoishia, d*ckhead!Ww unaonekana ni nyampala mpuuzi labda kwakuwa ma vyeo yamekuwa ya kujichotea lkn pia szani ni kama umechelewa
serikali ya awamu ya tano imewekeza nguvu kubwa kulihuisha shirika hilo lililokuwa mahututi kwa kununua ndege mpya na kulifanya sasa angalau liwe na uhai baada ya kudoda kwa muda miaka mingi. Tayari ndege tano zimeshafika nchini na zinafanya kazi na matarajio ni kuleta mashine kubwa zaidi, Airbus mapema mwezi huu.
Pathetic! Lazima usikilize pande zote mbili ndo utoe judgment, tatizo la watz wengi hawana reasoning capacity, akisikia jambo wala hadadisi, analibeba jinsi lilivyo, mwendawazimu wa kiwango cha lamiFoolish fool!!!!You are too emotional!!!Kutokupenda matatizo ya serikali yajulikane!!!!Ulichoandika ni ujuha mtupu
Asee tutashuudia mengiMkuu kama unaamini walichosema ATCL na kuona live ya Diamond ni uongo basi wewe ni mtu wa kuhurumiwa sana.
Ukweli ni kwamba, Diamond was right, na ATCL walichofanya ni damage control.
KIlichofanyika ni hivi, ATCL walikuwa wamebook abiria kuliko uwezo wa ndege. Sasa inapotokea hivyo, ATCL watachukua abiria walio -check in kwnza. Hata kama umefika airport ndani ya muda wa ku-check in, kwa kuwa kuna abiria waliozidi uwezo wa ndege, wale walio check in kwanza ndio watasafiri.
Kwa hiyo katika utetezi wao, ATCL WAMEDANGANYA UMMA kwa kusema Diamond alichelewa. Diamond alifika muda unaotakiwa bali kulikuwa na overbooking ya hiyo flight.
Dude linakuja mkuu, kwa mujibu wa mamlaka ni mapema mwezi huu, mimi so shabiki wa haya madude ila ndo hivyoMapema mwezi huu?
Nisaidie kuelewa mkuu
Pichamapema leo akiwa na mstaafu, kabla ya barua kutoka "basata![]()
Mkuu, wamempiga pini kwa muda usiojulikana. Inaweza kuwa wiki moja, mwezi, mwaka, nk lakini sio maisha.Ila hao ATCL wabadilike hyo tabia yao mbovu kumfungia diamond maisha ni adhabu kubwa kuliko maelezo.
Jf raha sanaUpo vizri sana dada angu..
tena ATCL, wakome kabisa..
ahahaaa[emoji1787]
Kama itakuwa kweli ulisemalo basi ATCL wazembe kuliko maelezo.Mkuu kama unaamini walichosema ATCL na kuona live ya Diamond ni uongo basi wewe ni mtu wa kuhurumiwa sana.
Ukweli ni kwamba, Diamond was right, na ATCL walichofanya ni damage control.
KIlichofanyika ni hivi, ATCL walikuwa wamebook abiria kuliko uwezo wa ndege. Sasa inapotokea hivyo, ATCL watachukua abiria walio -check in kwnza. Hata kama umefika airport ndani ya muda wa ku-check in, kwa kuwa kuna abiria waliozidi uwezo wa ndege, wale walio check in kwanza ndio watasafiri.
Kwa hiyo katika utetezi wao, ATCL WAMEDANGANYA UMMA kwa kusema Diamond alichelewa. Diamond alifika muda unaotakiwa bali kulikuwa na overbooking ya hiyo flight.
Pole sana mkuuJana ilikuwa siku mbaya sana kwangu..!
Kwanza namkubali sana Diamond Platnum lakini pia namkubali sana Jose Morinho! Unaweza jiuliza sasa nilikuwa katika hali gani jana......................🙁🙁🙁🙁🙁
Mi mwenyewe nimeomba kueleweshwa hapo kwanza. Niliishia hapo kuusoma uzi nikijua post ni ya muda mrefu. Kuchek tarehe kumbe ni jana tu. Nikakumbuka leo ni tarehe 19/12."mapema mwezi huu"
Unaleta uchochez mkuu, tarajia kupimwa mkojo.Mi mwenyewe nimeomba kueleweshwa hapo kwanza. Niliishia hapo kuusoma uzi nikijua post ni ya muda mrefu. Kuchek tarehe kumbe ni jana tu. Nikakumbuka leo ni tarehe 19/12.
Nikawa comfused. Let the guy uncomfuse us.