Kilichomwangusha Chibu Dangote BET 2016 ni hiki

Sa sema wewe basi

Haya sema wewe basi msemaji wake.

Tulia na ujipabue nikuingize material usiwe shabiki uchwara.
 
...very foolish reasons!
Kabisa. Ukiacha ile ya kwanza, ya kutokuwa na hit singles za kujulikana kimataifa. Mambo ya mama Tiffa ni hisia za mleta mada tu
 
to me wewe jamaa bado ujui muziki, diamond sio kwamba amefanya kosa jamaa kajitoa sana kapiga show kuliko msanii yeyote ndani ya Tanzania.....let me tell you mimi diamond simpendi ila biashara ya muziki anaijua,sidhani hata kama unafuatilia kwanini jamaa alieshinda kashinda he has been staying there jamaa ame promote sana muziki wake ulaya,...ana part na kina pdiddy,joe cole......for the last 3month labda anapiga show kila weekend ulaya, house music vs bongo flavor....Tanzania tutafika tu kingereza kinatusumbua lakini jitihada zakina diamond na wengine zitasaidia kufanikisha music wetu
diamond hana kosa kusaidia wasanii wenzie, na ina bidi awasaidie sana maana anabonge la exposure, ana hela ana studio ana good management.....hauwezi kuwa juu milele ndicho kinachomfanya awasaidie wasanii wenzie akibuma hela itapatikana katika wasanii wa label yake....
matter of fact....sipendi muziki wake ila nakubali sana hustle zake na mungu amuongezee zaidi....
 
Fikilia mbali sio kila tuzo its mayotoka aipate dangote au alikwambia akipata mtagawana?
 
Tupe na sababu zilizifanya wizkid 'babnla", a.k.a, yemi au casper kukosa hyo tuzo
 
B.E.T huyo black cofee alikuwa na hit gani ya kumshida wizkid......... mwaka uliopita walimpa eddy kenzo kwa kigezo kipi ambacho diamon alikuwa hana.... wajinga tuu
 
Haya tueleze kinachomuangusha huyo boss wako kibakuli maana kapotea Sana hata sura yake nimeanza kuisahau sasa.
 
Huyu kijana hakustaili kupata tuzo ya Bet acheni mbwembwe..hana kiwango cha kuchukua tuzo kama hii tuweni wakweli...mtu pekee wakujadili kwanini amekosa ni wizkid
Haya anzeni basi kujadili kwanini wizkid kakosa, tuanze kuchangia.
 
Habari,



3) Kukosa baraka za mzazi mwenzake mama Tiffah kutokana na usaliti aliomfanyia mwenzake.

4) Kurise up kwa Alikiba.
Hivyo Chibu ajipange upya upya ili arudi kwenye mstari.
sidhani kama hili lina msukumo wowote kwenye medani ya kimataifa......labda sijui influence ya alikiba kwenye BET na ushindi wa Black coffee na influence ya mzazi mwenzake kwenye BET...!!!
 
Bravoooooo! Such a honest guy [emoji119] sio huyu anayekuja na stori za zari kuchepukiwa
 
I think he over looked on the status. 'Makilo' akathani ni 'makalio'. So don't blame him plz! !
Acha kumtetea,acha kumsemea,nimemwambia mpuuzi kutokana na sababu zake no3-4 na 5. Nikampa na sababu zake ndio mana ameniita ivyo zaid ya mara 1 tafathar niombe radhi.
 
Unafki tuuweke pembeni mtu ambaye alistahili kuchukua hiyo tuzo ni aidha wizkid au yemi alade. Diamond hakuwa na hit song kulinganisha na hao wawili kwa hiyo kwangu mimi hakustahili kupata tuzo. Tatizo la hizi tuzo za siku hizi kutegemea kura za mitandao ya kijamii zinanyima fursa ya wanamuziki wanaojua muziki kupata recognition na awards stahiki wale wenye wafuasi wengi mitandaoni ndiyo ambao wanabeba tuzo kila kukicha lakini kimuziki watupu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…