Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Ukiachana na makosa mengine meengi ambayo yanaonesha mtoa mada hakuwa na hana uelewa na forex licha ya kuisoma for many years niliposoma hapa nilicheka sana aisee

👇🏽👇🏽👇🏽

"fungua real account katika mt4 yako fungua pair sawa na demo account ingia live market kisha jishuhudie mchezo hapo utashangaa sana"

☝🏾☝🏾☝🏾 Nani aje kumwambia kwamba demo accounts huwa hazina spreads wala deductions ambazo zipo kwenye real account 🤣🤣🤣 .

Kama unataka demo account yako iwe sawa na real account inakubidi ufungue demo account kwa brocker wako kisha ui limit .

Anyway

FOREX IS NOT FOR EVERY ONE MKUU KOMAA NA MAMBO ZINGINE
Haya uliyoyaandika hapa sio mapya hapa jf mkuu,walishaandika wajuaji kama wewe zamani sana.
 
😂 hii wiki mna nini na forex..?

Mkuu kalime tu ila Kuna watu wanatrade mpk Sasa wana miaka 8 kumi n.k mbona wao hawaachi!! Nini nyuma ya pazia..?
Hao hawaachi kwa sabaabu biashara ya forex ni kamari au bahati na sibu. Waliokaa muda mrefu tayari wako addicted wakingoja siku ya ku"hit" jackpot. Lakini kum,buka ku"hit" jackpot katika mchezo ambao zimenunuliwa tiketi millioni 25 uwezekano wa kupata jackpot ni 1 in 25,000,000. Ndiyo maana michezo kama hii huko USA, Ulaya inaweza ikapita mwezi au miezi miwili hadi tatu bila jackpot. Wiki tano au sita zilizopita bahati na sibu USA ilifikia $ billioni moja. Na jinsi kitita kinavyopanda ndiyo watu wanakati ticket nyingi, but in the end only one ticket wins.
 
Forex ni ngumu la sivyo kila mtu angekuwa millionaire, ila kwa wanaoelewa wanachofanya wanapiga pesa, ila kitu kimoja for sure forex is about patterns kama wewe ni mzuri wa kusoma chats na kutumia indicators unaweza kufanikiwa, na forex haina formula moja lazima uje na tricks zako ili ufanikiwe, mimi personally nafanya forex sana kwa zaidi ya miaka 10,nakumbuka on my early days of forex niliwahi kufanya forex bila kutumia indicators, nilikuwa natumia line zangu mwenyewe kwenye high na low za daily charts, nilitoka from 1000USD mpaka 46,000$ in less than 6 month then nikapoteza zote in one week, ila baada ya miaka mingi ikabidi nijifunze kutumia indicators ,charts and good money management, risk kidogo sasa lakini consistence ya kupiga pesa ipo and no pressure, kitu kingine baada ya miaka mingi naamini huwezi kumfundisha mtu forex beyond basics za buy and sells na kusoma charts, real money mtu atatengeneza mwenyewe kwa tricks zake baada ya kusota miaka mingi

Kama ni kweli hongera kutoa dollar 1000 hadi 46000 sio mchezo maana wengi wanaoitetea forex hata haiwapi faida. Wanaitetea tu sababu wanafanya. Ila kiukweli kupata faida kwenye forex ni ngumu sana.
 
Kama ni kweli hongera kutoa dollar 1000 hadi 46000 sio mchezo maana wengi wanaoitetea forex hata haiwapi faida. Wanaitetea tu sababu wanafanya. Ila kiukweli kupata faida kwenye forex ni ngumu sana.
Is real tough la sivyo kila mtu angekuwa millionaire, ni wachache sana wanaotengeneza pesa kwenye forex na wengi wao huwezi kuwaona wakifundisha au wakiongea kuhusu forex
 
Forex ni ngumu la sivyo kila mtu angekuwa millionaire, ila kwa wanaoelewa wanachofanya wanapiga pesa, ila kitu kimoja for sure forex is about patterns kama wewe ni mzuri wa kusoma chats na kutumia indicators unaweza kufanikiwa, na forex haina formula moja lazima uje na tricks zako ili ufanikiwe, mimi personally nafanya forex sana kwa zaidi ya miaka 10,nakumbuka on my early days of forex niliwahi kufanya forex bila kutumia indicators, nilikuwa natumia line zangu mwenyewe kwenye high na low za daily charts, nilitoka from 1000USD mpaka 46,000$ in less than 6 month then nikapoteza zote in one week, ila baada ya miaka mingi ikabidi nijifunze kutumia indicators ,charts and good money management, risk kidogo sasa lakini consistence ya kupiga pesa ipo and no pressure, kitu kingine baada ya miaka mingi naamini huwezi kumfundisha mtu forex beyond basics za buy and sells na kusoma charts, real money mtu atatengeneza mwenyewe kwa tricks zake baada ya kusota miaka mingi
You mould it to fit into your personality character. Ila it takes times ,blood,sweat and tears mpaka ufikie level ambayo utaitegemea
 
Mi kilichonifanya niache forex, kuna siku nilikua natrade short, na chart zilikuwa zinaenda down in my favour, zimepass 21 pips, badala ya kuonyesha profit of 21 usd, instead ikawa inaonyesha loss of 21 usd, nikashangaa sanaa.. nikawacheck customer care, naona wananijib siasa nyingi. Baadae price line ikaoverturn ikawa above the selling price line(ask), heeh! Naona still inaonyesha ñegative.. ikiwa above, negative(loss), ikiwa below, negative(loss).

Nikagundua hawa jamaa kumbe wanao uwezo wa kucontroll chart na balance wanavyotaka, wakiamua. Nikaclose trade, nikawithdraw balance yote iliyobaki, nikaachana nao, shenzi sana. Nilimind kinoma.
Broker gani huyo
 
Najua wote muwazima

Wacha nisonge kwa mada moja kwa moja. Nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk

Kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013 japo nilianza rasmi kuisoma na kuifanya mwaka 2015, kwa uhalisia siwezi sema nimewahikuliwa nikijumlisha faida na kutoa hasara.

Kwa haraka haraka nilitumia kama laki na 80 kununua materials kwaajili yakujisomea, lakini pia ilinigarimu tsh laki mbili kuweza kuwapooza baadhi ya waalimu ambao sikuwaweka rasmi kama walimu wangu bali niliwatumia kwa muda tofauti tofauti kujifunza kwa njia ya maswali ili kuongeza uzoefu hivyo niliwapoza kidogo kidogo kama kulipia muda wao wanaojitolea kukaa pamoja namimi.

Hadi naingia mwaka 2019 naweza kusema nilikuwa ni miongoni mwa watu wanaoingiza faida fulani inayoonekana na kueleweka

Nilizingatia sana kujikita katika kuweza kuielewa forex katika theory na application yake.

Lengo ilikuwa mimi na forex iwe ndio kazi ya maisha yangu wala nisihangaike kufungua madarasa nk, zaidi zaidi tu niwe ni mtu wa kuwekeza katika kuchambua masoko nakutumbua pesa zangu(bata) na kuzidi kuwekeza katika miradi mbalimbali huku nikiwanyanyua ndugu zangu maana kupitia forex nilitaka hadi inapofika 2030 walau ukoo wangu niwe nimeutengenezea hata ma bilionea zaidi ya kumi.

Ila tatizo lilianzia hapa na ndio ambapo niliweza kusanuka mapema nisiendelee kupoteza muda

1.HAIJARISHI UMEISOMA FOREX KWA UNDANI KIASI GANI UMEFUNDISHWA NA WATU WAKUBWA KIASI GANI HAKUNA MPANGO SAHIHI / AU MKAKATI SAHIHI WA FAIDA KATIKA BIASHARA YAKO.

Yaani hapa ndio biashara ilipo lakini pia bado hauwezi kuwa na uhakika wasoko lako sababu lazima tu utaingia chakike vilevile, yaani kwa ufupi naweza sema hivi unaweza chambua soko lako na unafikia hatua ambayo hakuna mapungufu yoyote lakini bado unaweza ukapigwa vilevile na sio hapo tu ukisoma sana Forex inakusaidia KUPUNGUZA KIWANGO CHA HASARA NA KUBALANCE MTAJI WAKO ILA SIO UHAKIKA WA KUPATA FAIDA YAKO.

Hebu fikiria unafanya biashara lakini hauna hesababu yoyote ya uhakika wakuweza kuingiza faida yako hivi inakuja akilini kweli?

2. HAKUNA WAFANYABIASHARA WAKUBWA WANAOIONA FOREX KAMA BIASHARA YA FAIDA WALA MABENKI HAWAFANYI UTOPOLO HUU.
Kuna mtu aliwahi kusema humu jf kuwa forex ni biashara ambayo mabenki hawataki ujue ila ukweli naweza kusema hapa alituingiza chaka wote tulioamini hii kitu sababu hakuna kitu kama hicho ILA SASA Forex wanaoweza kupata faida ni wale wanao trade na mitaji mikubwa tena kupitia mzunguko halisi wa pesa sio hizo virtual money sijui uweke kwa broker nk

Ndio maana mtu akisoma forex akielewa vizuri anakimbilia kuwa mwalimu ili awapige wanafunzi na kubalance hasara zake akijitahidi kukuza mtaji ukawa mkubwa anaamua kuwa broker yaani hataki yeye kutrade ila anataka wewe utrade mfano mzuri hapa ndio Sir Jeff aka Ontorio sijui nadhani mnamjua.

Sasa biashara ambayo inakimbiwa na wafanya biashara wakubwa na mtu anakushawishi wewe ndio utrade kwake basi hapo hakuna kitu cha ukweli ni ubadhilifu tu.

Sasa mwisho wa siku nikaona FOREX ni kitu kimekuja kutufanya vijana tupoteze muda mwingi kujikita katika virtual money na tuhangaike kupoteza muda katika mambo yasiyo ya msingi

Unaweza kulamba bingo ila haina tofauti na tatu mzuka kwakweli, zaidi ya yote zile fundamental zote huwezi kuuona mfumo wake kwa uwazi, na zaidi ya hapo hakuna mtu anayejua ile pesa inamilikiwa na nani sababu ni virtual money wala sio real money ndio maana unapitia mabroker ambao hata hawahusiani kabisa na uhalisia

fungua real account katika mt4 yako fungua pair sawa na demo account ingia live market kisha jishuhudie mchezo hapo utashangaa sana

Naenda kula na kuoga nitarudi kuendelea kutiririka mambo mengine ya msingi nk

UPDATES

Naendelea tena na uzi.
Kuna jambo moja muhimu sana liko katika msemo unaosema hivi "Always a House win"

Huu msemo hutumika sana katika vitu ambavyo vinafaida kubwa zaidi ya upande mmoja, mfano mzuri nitakaouweka hapa ni yale mambo ya betting.

Jiulize swali hili kwanini sportpesa wao wanamiliki betting ikiwa wanaweza kuwa na watu wazuri wanaojua namna ya kupangilia alama za ushindi(odds) na wakabeti kwa makampuni makubwa mengine wakapata mihela mingi?

Sasa ukijiuliza hilo utajua yakuwa huko hakuna uhakika wa ushindi sasa betting zote wanajiweka safe sade wanakaa upande salama wapo winning house huko wanapiga pesa kuliko wewe unayeitamani ile mil 500 ya jackpot.

Hebu fikiria mtu anachukua asilimia 99 ya faida halafu ninyi mnabakiwa na asilimia 1 tu.

Ndio maana katika forex pia mtu akisoma nakuielewa vyema na anahitaji kutengeneza pesa huwa siku zote anaanza nayeye kukimbilia safe side anajipeleka katika wining house ili awe salama.

Kuna maswali haya hapa nayewa yatakusaidia kujua nini kinaendelea ukiweza kuyajibu kiufasaha

1. Kwanini unauza pips ikiwa wewe ni mtu wa faida?
2. Kwanini unafungua darasa kula laki laki za watu ikiwa unamake kuzidi hiyo ada?
3. Kwanini unajiweka kuwa broker uanze kula hela za matrder wengine ambapo unaweza kumake pesa ndefu kuzidi hiyo ya ubroker?
4. Yule broker wetu yeye anasimama baina ya trader na nani? huyo aliye juu ya broker ni asasi ipi yenye makao yake wapi inasimamiwa na nani? tunaweza kuingia hata wikpedia tukapata habari zake?

maswali machache sana hayo hilo la mwisho linahitaji majibu yaloshiba

Neno langu sio sheria hii ni kwa mtazamo wangu ukiona inafaida unaweza komaa nayo tu ila kumbuka
"ALWAYS A HOUSE WINI"
tchao.

Updates No 2 Sep 1

NImekuja kuongeza updates nyingine hapa na ni muhimu mno sana, kuna watu wamenipinga sana lakini ni vile tunatofautiana uelewa tu wa mambo,

Mimi nilijua jambo moja hili hapa kwa upande wangu ili niweze kuifanya vyema forex nikuweza kuelewa mfumo mzima ikiwa ni jumla yakujibu maswali yote yasiyokuwa na majibu hii ingenifanya nichezeshe forex kama game tu na ningemake faida kubwa sana.

Hili jambo hapa chini linaweza kukupa mtazamo mpya kabisa katika forex kiasi kwamba ukipata majibu yakukuridhisha basi yawe mwangaza kwako kupata faida ila yasipokupa faida jua hayalingani kabisa.

Fikiria leo USD inathamani ya Tsh.2300/= na wakati huohuo pia Euro Inathamani ya Tsh.2500/= ukiingia katika soko la dunia ama katika mabank yote duniani utakutana na rate ambayo inakwenda sawa kabisa.

Lakini katika forex inakuwa nikwamba thamani ya fedha inaweza panda dakika tano zijazo na dakika 20 zijazo ikashuka na lisaa lijalo mbele ikapanda tena nk japo katika sehemu zile zinazoizungusha hiyo fedha hakuna hata mabadiriko kama hayo.

Sasa jiulize zaidi inakuwaje fedha inayorun katika biashara za ulimwengu ndani ya forex inapata nguvu kuzidi pesa nyingine ila katika uhalisia ukizunguka katika mabank hata ukichungulia soko la dunia haukutani na ushubwada kama huo.

tukutane next episode tena
IMG_20221229_083014.jpg
 
Najua wote muwazima

Wacha nisonge kwa mada moja kwa moja. Nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk

Kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013 japo nilianza rasmi kuisoma na kuifanya mwaka 2015, kwa uhalisia siwezi sema nimewahikuliwa nikijumlisha faida na kutoa hasara.

Kwa haraka haraka nilitumia kama laki na 80 kununua materials kwaajili yakujisomea, lakini pia ilinigarimu tsh laki mbili kuweza kuwapooza baadhi ya waalimu ambao sikuwaweka rasmi kama walimu wangu bali niliwatumia kwa muda tofauti tofauti kujifunza kwa njia ya maswali ili kuongeza uzoefu hivyo niliwapoza kidogo kidogo kama kulipia muda wao wanaojitolea kukaa pamoja namimi.

Hadi naingia mwaka 2019 naweza kusema nilikuwa ni miongoni mwa watu wanaoingiza faida fulani inayoonekana na kueleweka

Nilizingatia sana kujikita katika kuweza kuielewa forex katika theory na application yake.

Lengo ilikuwa mimi na forex iwe ndio kazi ya maisha yangu wala nisihangaike kufungua madarasa nk, zaidi zaidi tu niwe ni mtu wa kuwekeza katika kuchambua masoko nakutumbua pesa zangu(bata) na kuzidi kuwekeza katika miradi mbalimbali huku nikiwanyanyua ndugu zangu maana kupitia forex nilitaka hadi inapofika 2030 walau ukoo wangu niwe nimeutengenezea hata ma bilionea zaidi ya kumi.

Ila tatizo lilianzia hapa na ndio ambapo niliweza kusanuka mapema nisiendelee kupoteza muda

1.HAIJARISHI UMEISOMA FOREX KWA UNDANI KIASI GANI UMEFUNDISHWA NA WATU WAKUBWA KIASI GANI HAKUNA MPANGO SAHIHI / AU MKAKATI SAHIHI WA FAIDA KATIKA BIASHARA YAKO.

Yaani hapa ndio biashara ilipo lakini pia bado hauwezi kuwa na uhakika wasoko lako sababu lazima tu utaingia chakike vilevile, yaani kwa ufupi naweza sema hivi unaweza chambua soko lako na unafikia hatua ambayo hakuna mapungufu yoyote lakini bado unaweza ukapigwa vilevile na sio hapo tu ukisoma sana Forex inakusaidia KUPUNGUZA KIWANGO CHA HASARA NA KUBALANCE MTAJI WAKO ILA SIO UHAKIKA WA KUPATA FAIDA YAKO.

Hebu fikiria unafanya biashara lakini hauna hesababu yoyote ya uhakika wakuweza kuingiza faida yako hivi inakuja akilini kweli?

2. HAKUNA WAFANYABIASHARA WAKUBWA WANAOIONA FOREX KAMA BIASHARA YA FAIDA WALA MABENKI HAWAFANYI UTOPOLO HUU.
Kuna mtu aliwahi kusema humu jf kuwa forex ni biashara ambayo mabenki hawataki ujue ila ukweli naweza kusema hapa alituingiza chaka wote tulioamini hii kitu sababu hakuna kitu kama hicho ILA SASA Forex wanaoweza kupata faida ni wale wanao trade na mitaji mikubwa tena kupitia mzunguko halisi wa pesa sio hizo virtual money sijui uweke kwa broker nk

Ndio maana mtu akisoma forex akielewa vizuri anakimbilia kuwa mwalimu ili awapige wanafunzi na kubalance hasara zake akijitahidi kukuza mtaji ukawa mkubwa anaamua kuwa broker yaani hataki yeye kutrade ila anataka wewe utrade mfano mzuri hapa ndio Sir Jeff aka Ontorio sijui nadhani mnamjua.

Sasa biashara ambayo inakimbiwa na wafanya biashara wakubwa na mtu anakushawishi wewe ndio utrade kwake basi hapo hakuna kitu cha ukweli ni ubadhilifu tu.

Sasa mwisho wa siku nikaona FOREX ni kitu kimekuja kutufanya vijana tupoteze muda mwingi kujikita katika virtual money na tuhangaike kupoteza muda katika mambo yasiyo ya msingi

Unaweza kulamba bingo ila haina tofauti na tatu mzuka kwakweli, zaidi ya yote zile fundamental zote huwezi kuuona mfumo wake kwa uwazi, na zaidi ya hapo hakuna mtu anayejua ile pesa inamilikiwa na nani sababu ni virtual money wala sio real money ndio maana unapitia mabroker ambao hata hawahusiani kabisa na uhalisia

fungua real account katika mt4 yako fungua pair sawa na demo account ingia live market kisha jishuhudie mchezo hapo utashangaa sana

Naenda kula na kuoga nitarudi kuendelea kutiririka mambo mengine ya msingi nk

UPDATES

Naendelea tena na uzi.
Kuna jambo moja muhimu sana liko katika msemo unaosema hivi "Always a House win"

Huu msemo hutumika sana katika vitu ambavyo vinafaida kubwa zaidi ya upande mmoja, mfano mzuri nitakaouweka hapa ni yale mambo ya betting.

Jiulize swali hili kwanini sportpesa wao wanamiliki betting ikiwa wanaweza kuwa na watu wazuri wanaojua namna ya kupangilia alama za ushindi(odds) na wakabeti kwa makampuni makubwa mengine wakapata mihela mingi?

Sasa ukijiuliza hilo utajua yakuwa huko hakuna uhakika wa ushindi sasa betting zote wanajiweka safe sade wanakaa upande salama wapo winning house huko wanapiga pesa kuliko wewe unayeitamani ile mil 500 ya jackpot.

Hebu fikiria mtu anachukua asilimia 99 ya faida halafu ninyi mnabakiwa na asilimia 1 tu.

Ndio maana katika forex pia mtu akisoma nakuielewa vyema na anahitaji kutengeneza pesa huwa siku zote anaanza nayeye kukimbilia safe side anajipeleka katika wining house ili awe salama.

Kuna maswali haya hapa nayewa yatakusaidia kujua nini kinaendelea ukiweza kuyajibu kiufasaha

1. Kwanini unauza pips ikiwa wewe ni mtu wa faida?
2. Kwanini unafungua darasa kula laki laki za watu ikiwa unamake kuzidi hiyo ada?
3. Kwanini unajiweka kuwa broker uanze kula hela za matrder wengine ambapo unaweza kumake pesa ndefu kuzidi hiyo ya ubroker?
4. Yule broker wetu yeye anasimama baina ya trader na nani? huyo aliye juu ya broker ni asasi ipi yenye makao yake wapi inasimamiwa na nani? tunaweza kuingia hata wikpedia tukapata habari zake?

maswali machache sana hayo hilo la mwisho linahitaji majibu yaloshiba

Neno langu sio sheria hii ni kwa mtazamo wangu ukiona inafaida unaweza komaa nayo tu ila kumbuka
"ALWAYS A HOUSE WINI"
tchao.

Updates No 2 Sep 1

NImekuja kuongeza updates nyingine hapa na ni muhimu mno sana, kuna watu wamenipinga sana lakini ni vile tunatofautiana uelewa tu wa mambo,

Mimi nilijua jambo moja hili hapa kwa upande wangu ili niweze kuifanya vyema forex nikuweza kuelewa mfumo mzima ikiwa ni jumla yakujibu maswali yote yasiyokuwa na majibu hii ingenifanya nichezeshe forex kama game tu na ningemake faida kubwa sana.

Hili jambo hapa chini linaweza kukupa mtazamo mpya kabisa katika forex kiasi kwamba ukipata majibu yakukuridhisha basi yawe mwangaza kwako kupata faida ila yasipokupa faida jua hayalingani kabisa.

Fikiria leo USD inathamani ya Tsh.2300/= na wakati huohuo pia Euro Inathamani ya Tsh.2500/= ukiingia katika soko la dunia ama katika mabank yote duniani utakutana na rate ambayo inakwenda sawa kabisa.

Lakini katika forex inakuwa nikwamba thamani ya fedha inaweza panda dakika tano zijazo na dakika 20 zijazo ikashuka na lisaa lijalo mbele ikapanda tena nk japo katika sehemu zile zinazoizungusha hiyo fedha hakuna hata mabadiriko kama hayo.

Sasa jiulize zaidi inakuwaje fedha inayorun katika biashara za ulimwengu ndani ya forex inapata nguvu kuzidi pesa nyingine ila katika uhalisia ukizunguka katika mabank hata ukichungulia soko la dunia haukutani na ushubwada kama huo.

tukutane next episode tena
_20221229_115901.JPG
 
Najua wote muwazima

Wacha nisonge kwa mada moja kwa moja. Nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk

Kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013 japo nilianza rasmi kuisoma na kuifanya mwaka 2015, kwa uhalisia siwezi sema nimewahikuliwa nikijumlisha faida na kutoa hasara.

Kwa haraka haraka nilitumia kama laki na 80 kununua materials kwaajili yakujisomea, lakini pia ilinigarimu tsh laki mbili kuweza kuwapooza baadhi ya waalimu ambao sikuwaweka rasmi kama walimu wangu bali niliwatumia kwa muda tofauti tofauti kujifunza kwa njia ya maswali ili kuongeza uzoefu hivyo niliwapoza kidogo kidogo kama kulipia muda wao wanaojitolea kukaa pamoja namimi.

Hadi naingia mwaka 2019 naweza kusema nilikuwa ni miongoni mwa watu wanaoingiza faida fulani inayoonekana na kueleweka

Nilizingatia sana kujikita katika kuweza kuielewa forex katika theory na application yake.

Lengo ilikuwa mimi na forex iwe ndio kazi ya maisha yangu wala nisihangaike kufungua madarasa nk, zaidi zaidi tu niwe ni mtu wa kuwekeza katika kuchambua masoko nakutumbua pesa zangu(bata) na kuzidi kuwekeza katika miradi mbalimbali huku nikiwanyanyua ndugu zangu maana kupitia forex nilitaka hadi inapofika 2030 walau ukoo wangu niwe nimeutengenezea hata ma bilionea zaidi ya kumi.

Ila tatizo lilianzia hapa na ndio ambapo niliweza kusanuka mapema nisiendelee kupoteza muda

1.HAIJARISHI UMEISOMA FOREX KWA UNDANI KIASI GANI UMEFUNDISHWA NA WATU WAKUBWA KIASI GANI HAKUNA MPANGO SAHIHI / AU MKAKATI SAHIHI WA FAIDA KATIKA BIASHARA YAKO.

Yaani hapa ndio biashara ilipo lakini pia bado hauwezi kuwa na uhakika wasoko lako sababu lazima tu utaingia chakike vilevile, yaani kwa ufupi naweza sema hivi unaweza chambua soko lako na unafikia hatua ambayo hakuna mapungufu yoyote lakini bado unaweza ukapigwa vilevile na sio hapo tu ukisoma sana Forex inakusaidia KUPUNGUZA KIWANGO CHA HASARA NA KUBALANCE MTAJI WAKO ILA SIO UHAKIKA WA KUPATA FAIDA YAKO.

Hebu fikiria unafanya biashara lakini hauna hesababu yoyote ya uhakika wakuweza kuingiza faida yako hivi inakuja akilini kweli?

2. HAKUNA WAFANYABIASHARA WAKUBWA WANAOIONA FOREX KAMA BIASHARA YA FAIDA WALA MABENKI HAWAFANYI UTOPOLO HUU.
Kuna mtu aliwahi kusema humu jf kuwa forex ni biashara ambayo mabenki hawataki ujue ila ukweli naweza kusema hapa alituingiza chaka wote tulioamini hii kitu sababu hakuna kitu kama hicho ILA SASA Forex wanaoweza kupata faida ni wale wanao trade na mitaji mikubwa tena kupitia mzunguko halisi wa pesa sio hizo virtual money sijui uweke kwa broker nk

Ndio maana mtu akisoma forex akielewa vizuri anakimbilia kuwa mwalimu ili awapige wanafunzi na kubalance hasara zake akijitahidi kukuza mtaji ukawa mkubwa anaamua kuwa broker yaani hataki yeye kutrade ila anataka wewe utrade mfano mzuri hapa ndio Sir Jeff aka Ontorio sijui nadhani mnamjua.

Sasa biashara ambayo inakimbiwa na wafanya biashara wakubwa na mtu anakushawishi wewe ndio utrade kwake basi hapo hakuna kitu cha ukweli ni ubadhilifu tu.

Sasa mwisho wa siku nikaona FOREX ni kitu kimekuja kutufanya vijana tupoteze muda mwingi kujikita katika virtual money na tuhangaike kupoteza muda katika mambo yasiyo ya msingi

Unaweza kulamba bingo ila haina tofauti na tatu mzuka kwakweli, zaidi ya yote zile fundamental zote huwezi kuuona mfumo wake kwa uwazi, na zaidi ya hapo hakuna mtu anayejua ile pesa inamilikiwa na nani sababu ni virtual money wala sio real money ndio maana unapitia mabroker ambao hata hawahusiani kabisa na uhalisia

fungua real account katika mt4 yako fungua pair sawa na demo account ingia live market kisha jishuhudie mchezo hapo utashangaa sana

Naenda kula na kuoga nitarudi kuendelea kutiririka mambo mengine ya msingi nk

UPDATES

Naendelea tena na uzi.
Kuna jambo moja muhimu sana liko katika msemo unaosema hivi "Always a House win"

Huu msemo hutumika sana katika vitu ambavyo vinafaida kubwa zaidi ya upande mmoja, mfano mzuri nitakaouweka hapa ni yale mambo ya betting.

Jiulize swali hili kwanini sportpesa wao wanamiliki betting ikiwa wanaweza kuwa na watu wazuri wanaojua namna ya kupangilia alama za ushindi(odds) na wakabeti kwa makampuni makubwa mengine wakapata mihela mingi?

Sasa ukijiuliza hilo utajua yakuwa huko hakuna uhakika wa ushindi sasa betting zote wanajiweka safe sade wanakaa upande salama wapo winning house huko wanapiga pesa kuliko wewe unayeitamani ile mil 500 ya jackpot.

Hebu fikiria mtu anachukua asilimia 99 ya faida halafu ninyi mnabakiwa na asilimia 1 tu.

Ndio maana katika forex pia mtu akisoma nakuielewa vyema na anahitaji kutengeneza pesa huwa siku zote anaanza nayeye kukimbilia safe side anajipeleka katika wining house ili awe salama.

Kuna maswali haya hapa nayewa yatakusaidia kujua nini kinaendelea ukiweza kuyajibu kiufasaha

1. Kwanini unauza pips ikiwa wewe ni mtu wa faida?
2. Kwanini unafungua darasa kula laki laki za watu ikiwa unamake kuzidi hiyo ada?
3. Kwanini unajiweka kuwa broker uanze kula hela za matrder wengine ambapo unaweza kumake pesa ndefu kuzidi hiyo ya ubroker?
4. Yule broker wetu yeye anasimama baina ya trader na nani? huyo aliye juu ya broker ni asasi ipi yenye makao yake wapi inasimamiwa na nani? tunaweza kuingia hata wikpedia tukapata habari zake?

maswali machache sana hayo hilo la mwisho linahitaji majibu yaloshiba

Neno langu sio sheria hii ni kwa mtazamo wangu ukiona inafaida unaweza komaa nayo tu ila kumbuka
"ALWAYS A HOUSE WINI"
tchao.

Updates No 2 Sep 1

NImekuja kuongeza updates nyingine hapa na ni muhimu mno sana, kuna watu wamenipinga sana lakini ni vile tunatofautiana uelewa tu wa mambo,

Mimi nilijua jambo moja hili hapa kwa upande wangu ili niweze kuifanya vyema forex nikuweza kuelewa mfumo mzima ikiwa ni jumla yakujibu maswali yote yasiyokuwa na majibu hii ingenifanya nichezeshe forex kama game tu na ningemake faida kubwa sana.

Hili jambo hapa chini linaweza kukupa mtazamo mpya kabisa katika forex kiasi kwamba ukipata majibu yakukuridhisha basi yawe mwangaza kwako kupata faida ila yasipokupa faida jua hayalingani kabisa.

Fikiria leo USD inathamani ya Tsh.2300/= na wakati huohuo pia Euro Inathamani ya Tsh.2500/= ukiingia katika soko la dunia ama katika mabank yote duniani utakutana na rate ambayo inakwenda sawa kabisa.

Lakini katika forex inakuwa nikwamba thamani ya fedha inaweza panda dakika tano zijazo na dakika 20 zijazo ikashuka na lisaa lijalo mbele ikapanda tena nk japo katika sehemu zile zinazoizungusha hiyo fedha hakuna hata mabadiriko kama hayo.

Sasa jiulize zaidi inakuwaje fedha inayorun katika biashara za ulimwengu ndani ya forex inapata nguvu kuzidi pesa nyingine ila katika uhalisia ukizunguka katika mabank hata ukichungulia soko la dunia haukutani na ushubwada kama huo.

tukutane next episode tena
Tatizo kubwa ni kwamba faida unayoipata kwenye Forex unatakiwa uidiversify...na kuipeleka kwenye biashara nyingine ambazo zitakuwa zinakuingizia pesa kila simu, most successful and real traders ninaowafahamu mimi ndio wanachokifanya. Lakini nyinyi faida mnayoipata mnafikiria kula Bata, Show off na kupoteza pesa kwenye Liabilities na Vitu kama magari na Simu za bei mbaya ambavyo havigenerate income yoyote ile.
There is Bull Market and Bear Market sasa lazima uwe na mbinu za kusurvive misimu yote hiyo.
Forex na Tradi g kwa unumla ni biashara kama zilivyo biashara nyingine ila huwezi elewa hivyo kama umeingia kwenye hiyo biashara kwa mindset ya "get rich quick".
Pia msidanganyike na wahuni wanaojipost post mindandaoni kama vile ni successful traders..wengi ni scammers. The most successful traders hawana upuuzi wa show off za mitandaoni.
 
issue sio kutrade tuuu ila issue nikwamba je itakufikisha kwenye malengooo?
muhimu iashara iwe inaweza kukua, sasa ukiwa na biashara ambayo haijarishi umeielewa kiasi gani bado hauna uhakika wa faida kipengele tayari hicho
The Mana who is incapable of doing something mustn't interfere the man who is capable of doing that thing.
Two men , one said is impossible and another man said is possible. They're two equally right.
Wewe Ni wangapi kisomo ama biashara wote huwa Zina wapa faida ama malengo.


Nothing is guaranteed in this world. Nothing is quite really white and black. Remove your white& black thinking.

Your own mindset is the greatest enemy. We've got an enemy and is within us since enemy outside can't do us harm.
 
Forex Sio Kwa Ajili Ya Kila Mtu Mzee... We Ungeachana Nayo tu, Usitumie Nguvu Nyingi Namna Hiyo..
 
[emoji847]Inshort forex ni magic, unaweza shikilia ORDER over 7days ni us-earn hata Dollar, ila ni mwendo wa kucheza na graphs tu!! [emoji23]
Ni biashara ambayo inahitaji trading skills ili uweze kuifanya,lakini sasa kinyume chake wengi wanafail hapo kwenye kipengele cha skills. Wanaingia kwenye trading wakiwa wametanguliza tamaa mbele🤣
 
Back
Top Bottom