Kilichonifanya niichukie udsm

Kilichonifanya niichukie udsm

New Manase

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
294
Reaction score
39
Yani nimechaguliwa udsm(baE) na nacte kutokana na udsm kuwa na nafasi alaf leo naambiwa i am not admitted is this fair?
 
ukipata admision utarudisha mapenzi au ndo imetoka?
kauli zmenishinda yani makauli mabovu utazani leba dah! Yani kwa jinsi ninavyoona ndo basi tena wameshanipotezea cwez lazmisha wenda cyo fungu langu!
 
Usichukie udsm bali chukia majigambo uliyofanya mtaani kwenu baada ya kuskia umechaguliwa udsm. Ona sasa utawaambia nn uliowaacha kitaa..

Anyway pole sana.
 
Usichukie udsm bali chukia majigambo uliyofanya mtaani kwenu baada ya kuskia umechaguliwa udsm. Ona sasa utawaambia nn uliowaacha kitaa..

Anyway pole sana.
Nijigambe na chuo tena mimi nimemaliza hapo hapo udsm alaf tena nijigambe hamna k2 kama hcho, kwanza mm popote kambi bt udsm hii cyo cfa nzur
 
Nachukia coz wamenipotezea mda ni bora wangeniambia mapema sasa ivi cjui nianzie wap?
 
kwan ulikuwa na GPA ya point ngapi? Na je hawakupa sababu ya kutokuwa admitted? Hebu funguka vizur
 
Nijigambe na chuo tena mimi nimemaliza hapo hapo udsm alaf tena nijigambe hamna k2 kama hcho, kwanza mm popote kambi bt udsm hii cyo cfa nzur

Hueleweki mkuu kama umemaliza udsm admission ya nini tena?
 
unadhani naeza kupata admission letter?

unapata,mwaka jana kuna mshikaji wangu ila yeye aliingiziwa mkopo main campus hali ya kuwa alichaguliwa muce,cha msingi nenda kwa Director of undergraduate studies atakusaidia.
 
Yani nimechaguliwa udsm(baE) na nacte kutokana na udsm kuwa na nafasi alaf leo naambiwa i am not admitted is this fair?

ungeomba udom kilaza mkubwa wewe... Na wamekufanyia fais sana sema 2 hujui,shukuru wamekukataa ndugu nenda mukobs, na vile vya mkabala na guest maarufu.
 
unapata,mwaka jana kuna mshikaji wangu ila yeye aliingiziwa mkopo main campus hali ya kuwa alichaguliwa muce,cha msingi nenda kwa Director of undergraduate studies atakusaidia.
Asante ndugu yangu kwa kunitia moyo
 
Back
Top Bottom