Ushanogewa na mabishoo shangazisema kila mtu ako na choice yake, binafsi mwanaume anayevaa suruali za vitambaa simuelewi.
Hapo tu ndo Utata mm hata nyumba Za ibada naenda na nguo jeans Ila panaMimi ofisini kwangu ni vitambaa kwa kwenda mbele ,mpaka nimekuwa sugu.
Whysema kila mtu ako na choice yake, binafsi mwanaume anayevaa suruali za vitambaa simuelewi.
Sasa hivi una vaa za vyoo,mbao ama za tope?Ni muhimu sana kuwa makini. Unapoenda kwenye kadamnasi kubwa!
Uzi tiyari🤣
View attachment 3169499
Jeans Pana Pana Nafikri una elewa watu wenye miaka 37 nk. Wanavaaga jeans za Aina ganiSasa hivi una vaa za vyoo,mbao ama za tope?
hehehehehe sio kwamba ni mabishoo noo, lakini sipendi mwanaume mwemye suruali ya kitambaa na kama atakua nayo asivae tukiwa wote.Ushanogewa na mabishoo shangazi
Jeans kanisani hapana,piga cadetHapo tu ndo Utata mm hata nyumba Za ibada naenda na nguo jeans Ila pana
dunno, ni vile tu ni choice yangu
Duh so uliingia gharama sana usafiri, au haikua mbali sana na home?Kuna kipindi nilinunua suruali ya kitambaa nikaona ni pana mno nikaenda kwa fundi aninyongee ibane kidogo!
Siku nimeivaa niko town naruka mtaro ile kutua tu ngoma ikachanika kuanzia matakoni hadi kwenye zipu ya mbele
Nilibaki nimesimama vilevile kama askari kwenye gwaride
Nikaita boda ikanifuata mpaka nilipo nikapanda chap kama flash aliponishusha getini kwangu nilishuka kama flash nikiwa wima nikampa nauli
Ila yule boda alibaki kunishangaaa sana wakati anaondoka
Sawa,hizo unazovaa zimetengenezwa kwa maziwa,udongo,asali,mbao,vioo ama ni chuma?Jeans Pana Pana Nafikri una elewa watu wenye miaka 37 nk. Wanavaaga jeans za Aina gani
Niliingia gharama manake ndio nilikua naenda job usafiri haukua na bargain elf Tano nzima mahali pa buku jero kuanzia siku hiyo nachukia masuruali ya vitambaaDuh so uliingia gharama sana usafiri, au haikua mbali sana na home?