mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntavaaa wapi? Mi nshazoea cadate & jeansunazingua kagame
nunua dozen
Mimi ni lazima sio ombi ila nyumbani ni jeans kwa kwenda mbele.Hapo tu ndo Utata mm hata nyumba Za ibada naenda na nguo jeans Ila pana
Mimi ni lazima tena natia na tai kabisa na koti au suti😂.Hapo tu ndo Utata mm hata nyumba Za ibada naenda na nguo jeans Ila pana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kipindi nilinunua suruali ya kitambaa nikaona ni pana mno nikaenda kwa fundi aninyongee ibane kidogo!
Siku nimeivaa niko town naruka mtaro ile kutua tu ngoma ikachanika kuanzia matakoni hadi kwenye zipu ya mbele
Nilibaki nimesimama vilevile kama askari kwenye gwaride
Nikaita boda ikanifuata mpaka nilipo nikapanda chap kama flash aliponishusha getini kwangu nilishuka kama flash nikiwa wima nikampa nauli
Ila yule boda alibaki kunishangaaa sana wakati anaondoka
JFs haichoshi aiseeKuna kipindi nilinunua suruali ya kitambaa nikaona ni pana mno nikaenda kwa fundi aninyongee ibane kidogo!
Siku nimeivaa niko town naruka mtaro ile kutua tu ngoma ikachanika kuanzia matakoni hadi kwenye zipu ya mbele
Nilibaki nimesimama vilevile kama askari kwenye gwaride
Nikaita boda ikanifuata mpaka nilipo nikapanda chap kama flash aliponishusha getini kwangu nilishuka kama flash nikiwa wima nikampa nauli
Ila yule boda alibaki kunishangaaa sana wakati anaondoka
Tuvae nini tena binti yangu??🤣,hizo jeans na aina nyingine wengine tunavaa kwa matukio or mara moja mojasema kila mtu ako na choice yake, binafsi mwanaume anayevaa suruali za vitambaa simuelewi.
Half habari, nakuomba pm.Mara ya mwisho kuvaa suruali ya kitambaa ni nilivyomaliza mtiani wangu wa kidato cha sita.
Kadeti zipo vizuri sana.
Ni vitambaa vigumuHivi jeans na cadet sio vitambaa?
Waume zàko wanavaa ngozi au magome ya miti?sema kila mtu ako na choice yake, binafsi mwanaume anayevaa suruali za vitambaa simuelewi.
Wapi kaandika vitambaa laini? Yeye kaandika vitambaa. Jeans siyo vitambaa?Ni vitambaa vigumu
Basi jikite kwenye madaWapi kaandika vitambaa laini? Yeye kaandika vitambaa. Jeans siyo vitambaa?
Masema kila mtu ako na choice yake, binafsi mwanaume anayevaa suruali za vitambaa simuelewi.
Ila zinabana sanaMara ya mwisho kuvaa suruali ya kitambaa ni nilivyomaliza mtiani wangu wa kidato cha sita.
Kadeti zipo vizuri sana.