Kilichonifanya nikaacha kuvaa suruali za kitambaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
JFs haichoshi aisee
 
sema kila mtu ako na choice yake, binafsi mwanaume anayevaa suruali za vitambaa simuelewi.
Tuvae nini tena binti yangu??🤣,hizo jeans na aina nyingine wengine tunavaa kwa matukio or mara moja moja

Suruali ya kubana wengine huwashikilia mwili sana ndio maana huchanika
 
Nina miaka 7 sijavaa suaruali za vitambaa.hizo waachieni wadingi wavae
 
Imepita Miaka 10 Sasa Since nivae Trouser ya Kitambaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…