spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Zinabana au mnazibana?Ila zinabana sana
Utaingia kikaoni na jinzi lako WAKATI wenzio wamelamba suti ??sema kila mtu ako na choice yake, binafsi mwanaume anayevaa suruali za vitambaa simuelewi.
😂😂😂 shauri yakeUtaingia kikaoni na jinzi lako WAKATI wenzio wamelamba suti ??
utakua ni mluga luga tu mwanangu utamwambia asisuke asivae hereniMa
Mkwe mm navaa kwahy utonipa mwanao?
anavaa kanikiWaume zàko wanavaa ngozi au magome ya miti?
jeans sio mpaka ikubane bwana hao wanaovaa modo wakikua wataacha shida sielewi tu mimi wa kwangu anayo moja kama roho tena huivaa kwa nadra sana na akiivaa akirud lazima asiirudie.Tuvae nini tena binti yangu??🤣,hizo jeans na aina nyingine wengine tunavaa kwa matukio or mara moja moja
Suruali ya kubana wengine huwashikilia mwili sana ndio maana huchanika
Nipo naangalia series ya Terminal List.
Hapana zinabana sanaZinabana au mnazibana?
Ahahahhahautakua ni mluga luga tu mwanangu utamwambia asisuke asivae hereni
Vijana wanabana sana suruali hata akivaa anachongeka kama sindano na vimiguu kama kunguru pori...jeans sio mpaka ikubane bwana hao wanaovaa modo wakikua wataacha shida sielewi tu mimi wa kwangu anayo moja kama roho tena huivaa kwa nadra sana na akiivaa akirud lazima asiirudie.
kabisa mara mia avae cadet kuliko hiyo halaf ukute mtu ni mwembamba kachonga modo sjui wanajionajeVijana wanabana sana suruali hata akivaa anachongeka kama sindano na vimiguu kama kunguru pori...
Kuhusu uvaaji wa jeans,cadet n.k inategemea na lifestyle ya mtu ,majukumu n.k
kabisa mara mia avae cadet kuliko hiyo halaf ukute mtu ni mwembamba kachonga modo sjui wanajionajeVijana wanabana sana suruali hata akivaa anachongeka kama sindano na vimiguu kama kunguru pori...
Kuhusu uvaaji wa jeans,cadet n.k inategemea na lifestyle ya mtu ,majukumu n.k
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sema kila mtu ako na choice yake, binafsi mwanaume anayevaa suruali za vitambaa simuelewi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Siku nilipochomolewa Infinix yangu kwenye mwendokasi bila kushtuka ndio ilikuwa siku ya mwisho kuvaa suruali ya kitambaa
😂😂Kuna kipindi nilinunua suruali ya kitambaa nikaona ni pana mno nikaenda kwa fundi aninyongee ibane kidogo!
Siku nimeivaa niko town naruka mtaro ile kutua tu ngoma ikachanika kuanzia matakoni hadi kwenye zipu ya mbele
Nilibaki nimesimama vilevile kama askari kwenye gwaride
Nikaita boda ikanifuata mpaka nilipo nikapanda chap kama flash aliponishusha getini kwangu nilishuka kama flash nikiwa wima nikampa nauli
Ila yule boda alibaki kunishangaaa sana wakati anaondoka