Kilichonikuta baada ya kumtafuta ex wangu

Kuna mwamba alifanyiwa hivyo nae alikimbia mji. Wanawake wapo wengi sana kuanzana na mke wa mtu ni kujitaftia balaa.
 
Chapa ilale
 
Unachokitafuta utakipata...

Maziwa ya siku hizi hayaondoi sumu...
Na umuambie kabisa kwamba sisi tunaoyakamua tukishatenga ya kwetu pembeni yale ya dukani lita 10 tunachanganya na maji lita 16.
 
Vile namuuliza X wangu ni muda gani mume wake anakuwa hayupo nyumbani ili mimi niweze kuwa na muda nae👇😁😁😁
 
Mfiraj* na mfirwaj* wote ni mashoga.

Ila kapata alichokitaka pumbavu zake. Natumai ulimpiga picha ili kila akitaka kujaribu kujifanya kibolo dinda akumbuke ukuni wa makalio ulivyomuingia.
 
Tumebwanji.

Mkuu, huyo manzi hakuhitaji bali wewe ndo unamuhitaji

Wanawake wamejaa kitaa unajichagulia kwa mafungu

Kama nyanya watano jero na chenchi unarudishiwa,na ukilia sana

Unapunguziwa bei
Akiielewa hii itamsaidia kujiupusha na majanga yanayomnyemelea.
 
Tulibwino njala tu ipweteka
 
Kwanza tueleze ni matatizo gani yalipelekea ukaachana nae.ili tusipotezeane mda mkuu.
 
Hivi hizo nguvu za kutafta watu mlio achana nao hua mnazitoa wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…