mAGID NI KILAZA WA FIKRA, Mtu alielelewa katika maisha ambayo hayana upendo , nasema hivi kwasababu moja kubwa.
ukilelewa katika upendo , hutishwi ukisema ukweli nyumbani, unasikilizwa na kuelimishwa, inakujenga kuwa Imara na mtu asie muoga.
Maggid amekulia kwenye maisha ya vitisho, hakupewa uhuru wa kujieleza akiwa nyumbani, hakupendwa, alichapwa bila kusikilizwa, anadhani bado hata leo akisema hali halisi anayoiona katika rangi zake atasutwa, atatiwa rumande, anadhani tunaishi karne ya 18, anamtazamo zalili dhidi yake binafsi.
mawazo yake dhaifu mno. amepelekee makamba na Kingunge wakasome ulimbukeni wa mawazo huu.