Elections 2010 Kilichonishtua Juu Ya Dr Slaa Pale Mwembetogwa

Elections 2010 Kilichonishtua Juu Ya Dr Slaa Pale Mwembetogwa

Kama alitaja, si wewe taja? Maggid unaanza zako za kuanza sasa.......

Haya, wewe ita tu Makombora, utayapata sasa hivi na yanakuja kwa Kinyamwezi WANGU WANGU a.k.a. haraka haraka.....
 
Kama alitaja, si wewe taja? Maggid unaanza zako za kuanza sasa.......

Haya, wewe ita tu Makombora, utayapata sasa hivi na yanakuja kwa Kinyamwezi WANGU WANGU a.k.a. haraka haraka.....

Jamaa anajipendekeza awe mwandishi wa Ikulu iwapo Mkwere atarudi tena! Hajui Sisi HATUDANGANYIKI? My vote to Slaa PhD
 
Maggid hayo ndo mambo ya usiri yanayofanywa na ccm kila kukicha wakati mambo mengine hayahitaji kufichwa ni kukemea mara moja ili mtu ajirekebishe. Unayosema wewe ni mfumo unaotumiwa na chama cha mapinduzi tofauti na Chadema. Hatuhitaji kuunda kamati eti mtu achunguzwe au kamati ya usuruhisho ya nini, pesa inayotumika hapo si bora iende kwenye shughuli za maendeleo.
 
kwa kweli mjibu maana maana ni changamoto kubwa katoa ,

ningependa kua unajibu CHANGAMOTO ZA JMushi Otherwise utakuwa mnafiki wa ukweli

Kagoma kujibu....Nilitegemea angefanya hivyo lakini badala yake kaingia mitini.
 
Maggid, Acha Bwana, Kama madhaifu ya Kikwete ni Makubwa sana kuliko hili dogo la kumwambia ukweli Mgombea aliyehongwa, Maggid we ni rafifki yangu sana toka siku nyingi lakini naomba achana na Siasa Matope, Acha tuchague Viongozi wa kujenga nchi tumechoshwa na Matapeli.
 
He deserved that!! huyo ndio Slaa, anafichua mafisadi, and Thats the way those kind of people are supposed to be treated.
You are suggesting that he was supposed to be treated in a CCM way!! No my friend. Slaa Hayuko hivyo. huwa anawataja hadharani baba.
Kaa mkao wa kula baba. Slaa ndiye rais ajaye mkuu. Katika kipindi chake cha miaka mitano atabadilisha wengi, ukiwemo wewe!!
 
Magid umekuwa Kama malaria sugu bana!
Chadema wanaita spade spade....mwizi ni mwizi RU hata Kama ni mwanachama Wa chadema na tunasema wazi. Kama nyie mezoea kumalizana chumbani na kuficha uovu wawanachama wenu Sisi tunaweka wazi Kwa wananchi.
 
wewe unafahamu maana ya utawala wa sheria? Umetumwa wewe? Lt. General Abdulahaman Shimbo amekwambia uchuje habari zako, hukumsikia?
 
Majid kampeni zako kwa CCM kazifanyike kwa wajinga wenzio sio sisi tulioelimika. CCM ni waangalizi wa Matumbo yao
 
Last edited by a moderator:
Jamani a spade is a spade and not a big spoon.
Tuendelee kuleana mpaka lini jamani,ndo maana mwalimu aliwai sema wakati wenzetu wanakimbia sisi tunaa....................
 
Huyu jamaa toka asubuhi namfuatilia sana...bado sijaelewa analipwa na nani, na kiasi gani!
Mada zake ni ukosoaji tu na uswahiliswahili usiokuwa na substance!
Lete ishu nyeti zenye mwelekeo bana...usitake kupima watu hapa!
We unaonekana ni mtu wa journalism, lakini umekaa sokoni kungoja kuchukuliwa na chombo fulani cha habari ili uandike sided information!....
I hate your threads, thank you!
 
mAGID NI KILAZA WA FIKRA, Mtu alielelewa katika maisha ambayo hayana upendo , nasema hivi kwasababu moja kubwa.
ukilelewa katika upendo , hutishwi ukisema ukweli nyumbani, unasikilizwa na kuelimishwa, inakujenga kuwa Imara na mtu asie muoga.
Maggid amekulia kwenye maisha ya vitisho, hakupewa uhuru wa kujieleza akiwa nyumbani, hakupendwa, alichapwa bila kusikilizwa, anadhani bado hata leo akisema hali halisi anayoiona katika rangi zake atasutwa, atatiwa rumande, anadhani tunaishi karne ya 18, anamtazamo zalili dhidi yake binafsi.
mawazo yake dhaifu mno. amepelekee makamba na Kingunge wakasome ulimbukeni wa mawazo huu.
 
Nimefuatilia Post yako! ni ukweli mtupu umeongea
 
jamni ukweli ni ukweli ata ukiongelea chumbani au adharani utabaki kuwa ukweli slaa songa mbele nyuma mwiko tuko nyuma yako
 
Maggid, anaMtatiziko wa mawazo, njaa inakueleleza mdogo wangu.
 
Back
Top Bottom