Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,199
Maggid, hiyo habari ya kuogopa kudhalilishana ndiyo iliyoifikisha nchi yetu hapa. Kama wewe umeona kwamba uliyoelezea ni mapungufu basi umekosea. kwa kiasi kikubwa hiyo ni strength ya Dr Slaa kwamba hana muda wa kumwangalia mtu usoni. Anayevurunda anashughulikiwa instantly. Na huyo ndiye kiongozi tunayemtaka. Siyo kiongozi anayesema akikamata mafisadi nchi intatikisika. What a shame. Hongera Dr Slaa kwa kuonyesha ujasiri huo bila unafiki.