Kilichonitokea leo kwa muuza karanga

Kilichonitokea leo kwa muuza karanga

Kuna muuza karanga kanifanyia umafia hadi nimejishangaa maana Nilikua najiamini kuwa me born town. Nimenunua Kwake karanga za 100 kumbe mfukoni nilikua na msimbazi moja tu. Basi ameniomba nimsubiri akatafute change me nibaki na kapu lake la karanga. Sasa ni masaa mawili tangu aondoke hajarudi. Nimepiga hesabu karanga zilizopo ni za 10,000 kwa hiyo hapa ndo nimeanza kuzitembeza ili nirudishe ten yangu. Maisha haya* jamani
Nigee pakti 2
 
Kala hasara huyu muuza karánga maana bado gharama za hilo kapu lililohidh hizo karanga
 
Aisee wee jamaa, yaani nimecheka hadi ushuzi. Na hivyo unavyojibu comments za wadau, ndio unanimaliza kabisa.
 
Aisee wee jamaa, yaani nimecheka hadi ushuzi. Na hivyo unavyojibu comments za wadau, ndio unanimaliza kabisa.


Ushuz tena mkuu
Aya bhna ila mm bado napuyanga kurudisha msimbaz wangu
Alaf nmeuza buku Mia mbili tu mpk dk hii
Wateja hakuna wanakaz ya kuonja tu
Yan mpk zikiisha nitakuwa nmeonjesha kam za buku 6 hvi
 
Back
Top Bottom