Kilichopo nyuma ya pazia Wema Sepetu kujiunga na Wasafi

Wenye jicho la Tatu tu ndo wanaliona hili.
Miss you Baby.
 
May be kile kimavi kimeisha
Hakuna kitu,gunia la misumari lile
Too late amekwisha zeeka amechezea usichana hana hata kibanda cha vyumba viwili anataka kubahatisha wcb,si alikua na kipindi sijui kinaitwa foot kimeishia wapi
Hana tena mvuto anategemea kurudi kwa mgongo wa Diamond,ni heri angetafuta shamba akalime mapapai yana soko
 
Mkuu nimekupata ...

Japo naona wengine kwenye replay wanachanganya madesaa...

Time tu
 
very true
 
Naitabiria Wasafi tv na Wasafi fm kifo cha mende...watanzania hivi sasa ni kama wamejeruhiwa na uongozi huu wa awamu ya tano..na wanaugulia majeraha yao kwa uchungu mno!..Chombo chochote kinachohisiwa kuwa kinatumiwa kwa maslahi ya wahusika wa mateso ya watanzania automatically kitasusiwa!..kuna vigazeti kama Tanzanite.janvi la habari yanaungana na yale ya serikali ya uhuru na mzalendo..kususiwa!Hayaendeshwi kibiashara bali ni kwa ruzuku za serikali!ndivyo itakavyokuwa hiyo Wasafi tv na fm radio!..ni TBC on the making..Bashite hawezi kubuni kitu kikafanikiwa kamwe!
 
Itakua mbadala wa TBC maana naona watu wa lumumba buku buku ndio wanajisogeza kwenye hiyo media ya wasafi........anyway wawe makini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…