Kilichopo nyuma ya pazia Wema Sepetu kujiunga na Wasafi

Kilichopo nyuma ya pazia Wema Sepetu kujiunga na Wasafi

Kwahiyo unataka kusema Zari ni jina kubwa kuliko Diamond sio!!

Kama jibu lako ni NDIYO, unaweza kutujuza kabla ya uhusiano wa Zari na Diamond; Watanzania walikuwa wanamfahamu Zari kupitia nini hasa?!

Kabisa akili za wabongo hata sizielewi hivi kwanza zari anashughuli gani kubwa ya kuingiza kipato
 
Na kweli wabongo hatuna akili za kucheza porn ila zari anazo sana
Shhhhh puliz usipayuke Madame numbisa asikusikie
Hahahahah hausigel wa zero atkushukia kama mwewe
We hujui zero ana akili sana kuliko hata Michele Obama hahahah
Hazaizai hovyo, hatomb $I hovyo
Ini short she is a Madame u know
Kasoma sana,ana hadi PhD ya vipodozi
Ana hela billgate haingii ndani
Ana watoto Wawili wa ndani ya ndoa
Kasoma uingereza,marekani,China, urusi,ufaransa,Canada arc
Anaongea lugha za maarifa 9
Inshort she is way too smart
Hahahahahah hakufel lasaba huyo
Siyo wanawake wa Tz wasio na elimu
Wanaotegemea vajjjy kutotoa kuishi mjini
She above all of them
She is rich
Infact she is the next Angela Merkel of Germany
Hahahaha
God ihate poverty please rescue me and my generation Amen.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka sasa Ruge anaendelea kudhoofika kimwili na umaarufu....CMG si tishio tena imebaki jina,mdogo mdogo ngoma inachacha ile huku upande wa pili taratiiibuuu unaendelea kukua ngoja tuendelea kusubiri ushuda wa andiko hili.
 
Mpaka sasa Ruge anaendelea kudhoofika kimwili na umaarufu....CMG si tishio tena imebaki jina,mdogo mdogo ngoma inachacha ile huku upande wa pili taratiiibuuu unaendelea kukua ngoja tuendelea kusubiri ushuda wa andiko hili.
Tumuombee

Jr[emoji769]
 
Mpaka sasa Ruge anaendelea kudhoofika kimwili na umaarufu....CMG si tishio tena imebaki jina,mdogo mdogo ngoma inachacha ile huku upande wa pili taratiiibuuu unaendelea kukua ngoja tuendelea kusubiri ushuda wa andiko hili.
Ruge anaumwa ugonjwa unaoitwa HOFU KUBWA.
 
Back
Top Bottom