Kilichotekea Geita Gold FC ni ushamba tu

Nope, ni ya Halimashauri GGM ni wadhamini
basi siasa ishaanza ,itakuja kuwa kama Singida United,wakianza kupambana wasishuke daraja na siyo kupambana ubingwa na nafasi za kimataifa basi ujue hamna kitu tena ,Yale yale ya KMC na Dodoma Jiji
 
Vitu usivyovijua ni bora unyamaze, hiyo ni nyumba ya jirani ina siri nyingi tulia mkuu.
Unataka mtu aingie kambini bila mkataba?
tatizo mnasoma halafu hamjielewi. Ndiyo maana kasema Mambo km hayo ndiyo yanaigharimu timu.

Hili Jukwaa la michezo kila MTU ana Uhuru wa KUWEKA mtazamo wake au Jambo lolote la kimichezo kuhabarisha wengine.
 
Hayo yote yalikua na mauongo ili kuwaingiza Simba Chaka, mbinu za kishamba kwel
 
Kuhusu Minziro ni kosa la Geita GFC kudhani wangepata kocha bora zaidi yake kwa bei nafuu na mission imebuma.

George Mpole baada ya kuwa mfungaji bora akawehuka. Simba walipomhitaji akawatajia bei ya Sadio Mane wakamgeukia Habib Kyombo.
Ndio maana Leo alikuwa na hasira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…