Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Nimekuambia nioneshe wapi nimesema kuhusu huo ulimwengu wa kuoasuka.Ulimwengu wa kupasuka kwa utupu mnaishi nyie atheists. Mungu yupo, uthibitisho ni heartbeats ulizonazo hapo. Hakuna mwanasayansi atakuambia nini hasa kinasababisha moyo udunde na kusukuma damu.
Umeshindwa. Wewe ni muongo na mzushi.
Nakupeleka straight to ignore list.
You have lost your privileges to engage me directly.
Kuanzia hapa sitaona posts zako.