Kilichotokea kati ya Hayati Magufuli na Rais Paul Kagame, Rais Samia alienda rekebisha nini?

Kilichotokea kati ya Hayati Magufuli na Rais Paul Kagame, Rais Samia alienda rekebisha nini?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Walipoanza ilionekana kana kwamba hawa jamaaa ni marafiki sana but mambo yalikuja badilika. Kagame kama Magufuli hana rafiki wala adui wa kudumu.

Kuna sehemu maslahi ya hizi nchi mbili yalipishana. Kagame akaamua kunyamaza maana alishaambiwa Magufuli alikuwa anamlia timing ajichanganye tu. Ndiyo kipindi ambacho Kagame alikuwa anasema Tanzania ina Rais kichaa wakae kwa utulivu kwanza.

Alikumbuka kipindi kile cha Kikwete alivyoongea na response. Akawaza safari hii ingekuwa worse. Akachagua kunyamaza. Urafiki wao ukaisha.

Samia alienda kusawazisha baada ya Magufuli kufariki. Kuondoa tension na majirani zetu hawa. Sasa Kagame ameanza tena kutoa vitisho kwa nchi za ukanda huu kama kawaida yake.
 
kuna mda mwengine embu tuache kumfikiria kagame.tunaweza kubadilisha ukawa mkoa wetu mda mfupi !. hata wananchi wake wanapenda ilo
 
Rais Samia Suluhu always anaimarisha diplomasia acha kuchanganyikiwa na uvumi wa mitandao
Kabla ya Samia tulikuwa tumefungiwa kwenda nchi za Ulaya, Marekani na Far East sababu ya kuikana Covid 19, si hilo tu wafadhili wengi walifunga viganja vyao baada ya kuitwa mabeberu na wimbo ukavuma mpaka vijijini. Walioupokea ndo walengwa wa ARV, Family planning pills na huduma nyingine, chanjo za watoto za kifua kikuu, kifaduro na surua vyote hivyo vinategemea hao tunaowaita mabeberu.

Samia ameokoa jaazi, ameenda kuomba msamaha kwa niaba ya nchi na siyo marehemu maana aliyeongea alikuwa ni rais wa nchi na ile ni taasisi. Sasa tunaweza kutembea nchi yoyote duniani bila kujificha na tunaringa ingawa si nchi nyingi duniani zinafahamu wapi ilipo Tanzania kama watu wanavyoelezwa kuwa nchi inajulikana duniani kote. Anayejulikana ni Julius Kambarage Nyerere tu wengine tusijidanganye.
 
Magu alikuwa hapokei simu zao ndio maana kuepusha shari Marais wa EA walikuwa wanaomba Raila afikishe ujumbe wao hasa wakati wa Covid 19 na jiwe alipogundua Raila anatumika akamkatia waya vile vile! Jiwe sijui kilikuwa kichwa cha wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Walipoanza ilionekana kana kwamba hawa jamaaa ni marafiki sana but mambo yalikuja badilika. Kagame kama Magufuli hana rafiki wala adui wa kudumu.

Kuna sehemu maslahi ya hizi nchi mbili yalipishana. Kagame akaamua kunyamaza maana alishaambiwa Magufuli alikuwa anamlia timing ajichanganye tu. Ndiyo kipindi ambacho Kagame alikuwa anasema Tanzania ina Rais kichaa wakae kwa utulivu kwanza.

Alikumbuka kipindi kile cha Kikwete alivyoongea na response. Akawaza safari hii ingekuwa worse. Akachagua kunyamaza. Urafiki wao ukaisha.

Samia alienda kusawazisha baada ya Magufuli kufariki. Kuondoa tension na majirani zetu hawa. Sasa Kagame ameanza tena kutoa vitisho kwa nchi za ukanda huu kama kawaida yake.
Kagame na JK picha haziendi kabisa
 
Magu alikuwa hapokei simu zao ndio maana kuepusha shari Marais wa EA walikuwa wanaomba Raila afikishe ujumbe wao hasa wakati wa Covid 19 na jiwe alipogundua Raila anatumika akamkatia waya vile vile! Jiwe sijui kilikuwa kichwa cha wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alipokufa East Afrika nzima ilishangilia
 
Jiwe sijui kilikuwa kichwa cha wapi
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Nilisha wahi kuwaimbia humu ndani kuwa Mtu yeyote ukifa leo tambua kwamba ulisha kufa kitamboo sana ktk ulimwengu wa roho!! linalo baki ni lidude tu la kuzimu linakuja kuhitimisha mambo!
 
Back
Top Bottom