Kila zama na watu wakeHamilton kapteana sana siku hizi shida nini kwa wajuzi?
Jamaa anagonga sanaHamilton kapteana sana siku hizi shida nini kwa wajuzi?
Michezo ya wakishua hii utoke shule ya kata haya mambo hutayaelewaHapa wale OyaOya wa Jangwani na Msimbazi lazima watoke kapa.
Hawa jamaa kuna mahala walikosea mkuu maana siku zinavyokwenda wanazidi kupotea na magari yao yanapata sana hitilafu.Alonso na Hamilton Wana struggle kinoma sijui ndio Zama zimeisha Pablo nae siku hizi simuoni kabisa
Pale alipoanza kubadilisha wasaidizi wake wa karibu naona ndio alianza kuporomokaHamilton kapteana sana siku hizi shida nini kwa wajuzi?
Huu mchezo unaitaji zaidi ubora wa gari ndipo ubora wa dereva unapoonekana,.Hawa jamaa kuna mahala walikosea mkuu maana siku zinavyokwenda wanazidi kupotea na magari yao yanapata sana hitilafu.
Kweli kabisa mkuu ubora ndio huketa matokeo bora ktk haya mashindano.Huu mchezo unaitaji zaidi ubora wa gari ndipo ubora wa dereva unapoonekana,.
Kuanzia mwak 2021 Red bull ndio anatengeneza gari bora zaid la mashindano ndio maana Max Verstapen amekuwa hakamatiki, kwaio madereva wengine wote wamekuwa wanaonekana wa kawaida kwa sababu mshindani wao amewazid kwenye ubora wa gari.
Vivo hivyo hata wakati kina Lewis Hamilton, Fernando Allonso, Michael Schumacher n.k walipokuwa wakitamba, kampuni zao ndio zilikuwa zikitengeneza gari bora za mashindano kwa wakati huo..
πππππMimi nikitumia MB zangu kufungua uzi alafu nisielewe kinachozungumzwa sikuwahi kukubali lazima na Mimi nikomenti hivyo hivyo .
Anyway kweli huyo jamaaa ni balaa sana