Katika watu ambao hawahangaiki na udini basi mimi nimo, Israel imepiga kiwanda cha makombora cha Iran, hii ndio sababu ya Iran kushindwa kusaidia marafiki zake
Ushahidi wa hicho kiwanda ukwapi na kwakawaida nchi nzima ya Iran ina underground storage ya missiles hawategemei upungufu wa makombola wakati hawana vita brother Mimi mwenyewe nilikuwa muhanga wa kuamini Israel ni invisible Russia ni invisible kumbe kwasasa unachapika no matter wewe nani hakuna cha super powers zama hizi za drones warfare
Watu wa magharibi
Kushindana nao ni ngumu sana
Ugomvi wao ni kama kansa
Waogope
Ile vita ya ukrain mrusi atashimdwa na hatimae putin anaweza poteeza maisha