Hii,ndo sababu hasa inayo nigusaLengine mawakili wa upinzani walikuwa tayari kumtetea kwa hiyo ulikuwa mtaji wa kisiasa kwa kina Lisu na Kibatara ndio maana akaamua kulimaliza fasta
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wewe usijidai mjanja. Hizo za mikate ni buns.
Ukifundishwa weka japo like kama ahsante inakushinda.
ms nsingeeenda. majaribu hayo. mtu nshamtukana ananiita nikamwone heeeeeNasikia sio kuachiwa tu.......Nay ameitwa Ikulu na mheshimiwa, sijui anaenda kuambiwa nini?
Nafikiri amekuelewa ila hataki kujua kama amelekezwa!Wewe usijidai mjanja. Hizo za mikate ni buns.
Ukifundishwa weka japo like kama ahsante inakushinda.
Wewe usijidai mjanja. Hizo za mikate ni buns.
Ukifundishwa weka japo like kama ahsante inakushinda.
Keshatangaza kwamba Bashite ameonesha vyeti vyake na kwamba hilo ni pigo kwa Mange et al na yakwamba bwana mkubwa katamba kwamba yeye hateuagi vilaza! Ni eti lakini eti.Nasikia sio kuachiwa tu.......Nay ameitwa Ikulu na mheshimiwa, sijui anaenda kuambiwa nini?
Nani ktangaza wewe acha kuota vitu vya kijingaKeshatangaza kwamba Bashite ameonesha vyeti vyake na kwamba hilo ni pigo kwa Mange et al na yakwamba bwana mkubwa katamba kwamba yeye hateuagi vilaza! Ni eti lakini eti.
Heee eti ' Kashangiliwa nape Ingawa ni CCM' hivi unadhani Watu wanaoenda kwenye michezo ni Upinzani tu?' Hivi mtarudishiwa lini akili zenu jamani mbona mnatuchosha?!?!?Kitendo cha Mh Mwakyembe kuzomewa huku Nape kushangiliwa siku ya jumamosi uwanja wa Taifa halikuwa jambo la kawaida.
Lazima lilimpa Rais wetu msukumo wa kujitathmini juu ya maamuzi ayafanyayo.
Watanzania wengi wanajiuliza hivi leo Rais wao kaota nini mpaka kafanya maamuzi adimu kama ya leo. ( naamini ni mara ya kwanza kufanya maamuzi ya namna hii).
Zipo sababu kuu tatu zilizomsukuma Rais kufanya haya maamuzi kutokana na tukio la Jumamosi.
1. Kama Ney angepata dhamana hivi leo, basi angetoka kwa kupokelewa kwa mbebwe na mashabiki wake huku akionekana kuwa shujaaa (hero). Mpaka sasa Rais kaishatengeneza mashujaa wakubwa wawili. NAPE na Mange K. Sasa leo anngechelewa kidogo tu, Angeongeza shujaa mwingine wa tatu.
2. Kumsafisha Mwakyembe.
Kuzomewa kwa mwakiyembe kumempa picha kuwa yeye na chaguzi zake hazikubaliki. Ili kumsafisha na kumtaftia kiki Mwakiyembe, imemsukuma kumwachia huru Ney ndyo maana baada ya Rais kutoa Ruhusa na mwakyembe katokelezea kwenye press. Nikimaanisha, ilikuwa scriptes.
Kama Ney angeendelea kuwekwa ndani nakupigwa burn, Mwakiyembe naye angezidi kuchukiwa na Raia maana Tabia yake ya ndyo mzee hta mtu aliyepo kolomije anaijua.
3. Tukio la Jumamosi limeonesha kuwa watu wanachukia sasa serkali ya Magufuli sababu ya ubabe. Ndyo maana kashangiliwa Nape ingawa ni CCM. Ninauhakiki hili tukio lilimfanya Rais apate sleepless night. Ili kupunguza chuki. Kaanza kupunguza makali kuanzia kwa Ney.
Mimi nampongeza Rais kuanza kutambua kuwa ananguvu kubwa ila anabidi ajue kujiwekea mipaka ya nguvu aliyonayo.
Hongera Rais kwa kutambua kuwa serikal yako inahitaji kukosolewa.
Ameitwa akamshirikishe kwenye remix si wajua mkulu now hajui aifanyie nn nchi so anaenda na yeye kwa matukio. Hapa ndio namuheshimu Mkapa. He was busy na nchi na sio haya ya muziki sijui mange sijui movie yeye alikuwa busy nanserious issue sio kutafuta front page coverage.....Ingawa alijiuzia mgodi[emoji91]
Vyama vyote nimali yetu achana nae hajuikitu.Heee eti ' Kashangiliwa nape Ingawa ni CCM' hivi unadhani Watu wanaoenda kwenye michezo ni Upinzani tu?' Hivi mtarudishiwa lini akili zenu jamani mbona mnatuchosha?!?!?
Hakupata changamoto Kama wenzake hizi ni zama nyingine mkuu) Kikwete anahutubu wabunge wanazomea) alikua baba wa wa Tanzanian wote sio baba bashiteIngawa alijiuzia mgodi...hakuna Rais bora kama Mkapa.